kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,030
- 2,168
Si vyema kufananisha chochote kile na Mungu sawa ndugu
Ndio maana nikakuambia ukiendelea kuwaza sana hayo mambo utakufuru
Mungu yu juu ya yote na yeye anajua ni namna gan ulimpenda mama yako na hiyo inatosha maana maandiko yalisema mpenda bwana Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nguvu zako zote na kwaa akili zako zote na pia mpende jiran yako kama unavyo jipenda zaid nadhna haya maandish yanajieleza kikubwa Muombee mama kila siku ukiweza kama ishara ya upendo wako kwake. R I P mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikakuambia ukiendelea kuwaza sana hayo mambo utakufuru
Mungu yu juu ya yote na yeye anajua ni namna gan ulimpenda mama yako na hiyo inatosha maana maandiko yalisema mpenda bwana Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nguvu zako zote na kwaa akili zako zote na pia mpende jiran yako kama unavyo jipenda zaid nadhna haya maandish yanajieleza kikubwa Muombee mama kila siku ukiweza kama ishara ya upendo wako kwake. R I P mama
Wewe huwezi elewa kama mama unaye furahi.
Sent using Jamii Forums mobile app