Mama ndo kila kituUnaweza mpenda Mungu zaidi ya nafsi yako? Yesu alisema mpende jirani yako kama nafsi yako, na kwa mama, hakuna kama yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaaanisha kuwa hata ukimpenda mama ni sawa tu umempenda mwenyezi mungu.Sijaelewa
Mama yako alikuzaa na kukunyonyesha lakini Mungu ndiye aliyewaumba wewe na mama yako na kila alichokuwa nacho ikiwemo nyonyo yake.Pole Sana, mwambie Mungu Asante hata kwa kipindi hiki kigumu unachopitia.
Mwombee yeye akupe faraja na kukufuta machozi
Mungu atampaje pumziko mama yake wakati yeye mwenyewe hampendi Mungu...!pole sana.
Mungu ampe pumziko mama
Hizi mada za kipumbavu zinanikubusha shule !!! Mwanafunzi mjinga akiambiwa a propose Motion ya debate anapendekeza " Mother is Better than father"""Mama yako alikuzaa na kukunyonyesha lakini Mungu ndiye aliyewaumba wewe na mama yako na kila alichokuwa nacho ikiwemo nyonyo yake.
Shukuru Mungu kwa yote, kuna wengine waliachwa na mama zao siku waliyozaliwa!
Pole kwa Msiba wa Mama! Apumzike kwa Amani! Mungu awafariji!Binafsi ninampenda sana mama yangu mzazi japo ameshafariki few weeks ago. Ninampenda kwa sababu alikuwa ananipenda sana zaidi ya sana, siwezi kufananisha upendo wa mama yangu mzazi na kitu chochote kile.
Nipo gizani au ndotoni mpaka leo.