Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kwanza wafafanue elimu gani dunia au akhera?
source: Radio imaan fm ktk kipindi cha mwangaza kwa jamii.
so what?
Wanataka usawa uwepo ktk ajira.Vinginevyo uvumilivu utawashinda
Hapa unaona umeandikaaa...tuondolee ***** wako!uwashinde tu, tupambane, we angalia taasisi yoyote ambayo waislamu wamejazana, utakuta taasis hyo inaboronga sana, tumempa nchi mwislam sasa angalia taifa lilivyo hoi, kila sekta imeharibika,
wakati wa nyerere mambo yalikwenda vzuri
alivyopewa mwinyi nchi kidogo iuzwe
mkapa akaja akaisimamisha nchi upya.
Sasa kikwete anaipeleka nchi kaburini
Hiyo radio inatafuta wachumba??
Kama kweli wanatangaza ***** wa namna hiyo basi wanajishusha thamani kiasi ambacho hakiweza kuvumilika na uhalali wao wa kuendelea kurusha matangazo unatia shaka!!
Babu DC!!
Hapa unaona umeandikaaa...tuondolee ***** wako!
Shkamoo babu.
Long time no see.
Tembeza ushauri kwa hiyo radio, may be ushauri wa wazee watausikia.
Hawa hata uwaelezeje, sijui kama wanaelewa kweli....mtu mwenye kichwa cha binadamu (hata kama hakwenda shule), anawezaje kuongea mambo ya hovyo hovyo namna hii!!
Kama kuna mtu anahisi haki haitendeki basi aende mahakami akadai haki huko badala ya kupandikiza maneno ya ajabu ajabu kwa vijana wetu...
Nchi hii tumeijenga kwa gharama kubwa na hatutakiwi kuwaruhusu watu wa ajabu ajabu kama hawa watuletee matatizo!
Babu DC!!
Source: Radio Imaan FM ktk kipindi cha mwangaza kwa jamii.
Kweli kabisa babu, habari za udini hazipaswi kupewa nafasi kabisa. Kinachotakiwa kwa sasa ni kukusanya nguvu za pamoja km watanzania, kuinusuru Tanzania yetu inayoelekea kuzama.
Ahsante Koku,
Hata sijui kwa nini nimejikuta nachangia mada hii...Mada za namna hii huwa zinanichefua sana...
Ngoja niende zangu MMU nikashushe pressure!!
Narudia tena, na nitasema hivi hata nikiwa kwenye jeneza....Mijadala ya na namna hii ni ****** tena ulio chini ya mstari!!
Babu DC!!