Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,142
- 162,537
Baada ya Polepole kutoa tuhuma nzito za mifumo ya uchaguzi kuingiliwa huku akitaka uchunguzi huru utaohusisha vyama vyote ufanyike ili umma ujiridhishe kama alichosema ni kweli au laa, nimejikuta na hili swali hapa chini:
Kama Lissu anashitakiwa kwa tuhuma za kusema atakinukisha kuvuruga uchaguzi; je, hawa wanaotuhumiwa kuingilia mifumo ya uchaguzi kwa kuiunganisha na chama fulani cha siasa, wao hawastahili kushitakiwa kwa uhaini?
Kama Lissu anashitakiwa kwa tuhuma za kusema atakinukisha kuvuruga uchaguzi; je, hawa wanaotuhumiwa kuingilia mifumo ya uchaguzi kwa kuiunganisha na chama fulani cha siasa, wao hawastahili kushitakiwa kwa uhaini?