EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,701
- 6,441
Kila kampuni ina brandshop kwa nini usiende huko mpaka unapigwa na vitu feki?Kwanza mleta mada futa kauli ya umeshuka wewe haujashuka ila ulichokuwa unatumia mwanzo ni kibovu ndiyo maana kimekufa,nimekuwa surprised uliposema Samsung unapaona parefu yaani Samsung umetumia imekufa so ungekuwa na uwezo ungenunua tena hiyo hiyo Samsung?
Mimi natumia Haier Android 43" with 3 years of warranty so far siyo mbaya sana picha naziona watoto wanafurahi maisha yanaenda,kununua vitu kwa kuzingatia brand kunatudanganya sana wabongo kumbe ni vibovu tu.