Kati ya haier na hisense ipi bora?

Kati ya haier na hisense ipi bora?

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,981
Reaction score
4,114
Kwa wataalamu wa au waliotumia hizi TV 2 naomba ushauri kati ya haier na hisense TV gani nzuri na mara.

Nilikua na samsung imekufa sasa huku kwa samsung naona parefu sana. nimeshuka hapa kati kabla sijafika huko chini kwa wachina kina vitron na kina Alitop. Msaada wakuu.
 
Wote wapo Tanzania Official,

Hisense model zao za U7N series hawana mpinzani kwenye Budget TV kama unaipata chukua,

Advantage ya Haier over Hisense inakuja na Android tv, kama ni mtu wa kutumia TV na internet inasaidia, hasa hizi apps za bure.

Mambo mengine itategemea model na model
 
Chukua ULED Moja kali ya Hisense for picture quality, halafu nunua android tv stick au box kwaajili ya freedom.
 
Wote wapo Tanzania Official,

Hisense model zao za U7N series hawana mpinzani kwenye Budget TV kama unaipata chukua,

Advantage ya Haier over Hisense inakuja na Android tv, kama ni mtu wa kutumia TV na internet inasaidia, hasa hizi apps za bure.

Mambo mengine itategemea model na model
Mkuu hapa kwenye haier kuna model ipi inaipiku tcl v6b au v6c kwa ufanisi kiongozi
 
Nilikua na samsung imekufa sasa huku kwa samsung naona parefu sana. nimeshuka hapa kati kabla sijafika huko chini kwa wachina kina vitron na kina Alitop. Msaada wakuu.
Kwanza mleta mada futa kauli ya umeshuka wewe haujashuka ila ulichokuwa unatumia mwanzo ni kibovu ndiyo maana kimekufa,nimekuwa surprised uliposema Samsung unapaona parefu yaani Samsung umetumia imekufa so ungekuwa na uwezo ungenunua tena hiyo hiyo Samsung?

Mimi natumia Haier Android 43" with 3 years of warranty so far siyo mbaya sana picha naziona watoto wanafurahi maisha yanaenda,kununua vitu kwa kuzingatia brand kunatudanganya sana wabongo kumbe ni vibovu tu.
 
Kwanza mleta mada futa kauli ya umeshuka wewe haujashuka ila ulichokuwa unatumia mwanzo ni kibovu ndiyo maana kimekufa,nimekuwa surprised uliposema Samsung unapaona parefu yaani Samsung umetumia imekufa so ungekuwa na uwezo ungenunua tena hiyo hiyo Samsung?

Mimi natumia Haier Android 43" with 3 years of warranty so far siyo mbaya sana picha naziona watoto wanafurahi maisha yanaenda,kununua vitu kwa kuzingatia brand kunatudanganya sana wabongo kumbe ni vibovu tu.
Ni kweli hata samsung phone zinazingua somtimes. Kuna wazalishaji wahuni wanagonga copy wanauzia wafanya bishara matapeli wanatupiga kwa kufata Brand
 
Wewe umelinganisha TV brands badala ulinganishe models. Ila hujakosea sana maana price range zake huwa zinaendana ingawa compatible models unakuta Haier inazidi kidogo bei Hisense.

Haier inaizidi Hisense kwa kudumu, ubora zinaendana kiasi ila most of the time Hisense inakuwa vizuri zaidi kwenye ubora wa picha. Tatizo Hisense ina Vidaa OS na Haier ni Android TV.

Binafsi nachagua Haier.
 
Back
Top Bottom