Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Wamesema kila wanapouliza kuhusu kulipwa fidia yao wanapewa majibu yasiyowafurahisha ambapo Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Katavi, Chidiel Mlutu amesema tayari ofisi yake imekwisha kamilisha uthamini wa maeneo.
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amesema ahadi yao iko palepale na Serikali kupitia Wizara husika itawalipa.
Mrindoki amezindua Kliniki ya Kusikikuza na kutatua kero mbalimbali ambapo ameagiza viongozi wa mkoa huo kuwafikia Wananchi popote walipo ili kusikiliza na kutatua kero.