Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Moja ya Vichaka ambavyo Chama Cha Mapinduzi,CCM Kimejifichia ni kupitia Ushabiki wa Simba na Yanga.
Hiki Kichaka kimewatoa kwenye Mstari Wa Tanzania kuacha kufuatilia Mambo Muhimu kwa mustakabali wa Maisha yao, mfano kuimulika na kuiwajibisha Serikali katika utendaji wake.
Kwa sasa wa Tanzania wako busy na Simba na Yanga kuliko hat ana Ajenda kubwa za KI Taifa, Mfano uuzwaji wa Bandari, mambo ya kihuni yanayotokea katika chaguzi zetu nk
Nimefurahi sana Bodi ya Ligi kupitia TFF ilivyoahirisha game ya Yanga na Simba, Ma Shabiki wa Yanga kwa sasa wapo wanahaha kumtafuta Mchawi wao, bado hata hawaelewi kuwa Mchawi wao ni CCM, Kupitia kuahirishwa kihuni kwa Derby, kama wana Yanga hawatajua kuwa Mchawi Mkuu ni CCM basi hawatokaa wajue Milele.
Nitoe rai kwa wa Tanzania wote tuachane na ushabiki wa Simba na Yanga, unatupumbaza kushindwa kufuatilia Mambo ya Msingi yanayoikabili nchi yetu
Hiki Kichaka kimewatoa kwenye Mstari Wa Tanzania kuacha kufuatilia Mambo Muhimu kwa mustakabali wa Maisha yao, mfano kuimulika na kuiwajibisha Serikali katika utendaji wake.
Kwa sasa wa Tanzania wako busy na Simba na Yanga kuliko hat ana Ajenda kubwa za KI Taifa, Mfano uuzwaji wa Bandari, mambo ya kihuni yanayotokea katika chaguzi zetu nk
Nimefurahi sana Bodi ya Ligi kupitia TFF ilivyoahirisha game ya Yanga na Simba, Ma Shabiki wa Yanga kwa sasa wapo wanahaha kumtafuta Mchawi wao, bado hata hawaelewi kuwa Mchawi wao ni CCM, Kupitia kuahirishwa kihuni kwa Derby, kama wana Yanga hawatajua kuwa Mchawi Mkuu ni CCM basi hawatokaa wajue Milele.
Nitoe rai kwa wa Tanzania wote tuachane na ushabiki wa Simba na Yanga, unatupumbaza kushindwa kufuatilia Mambo ya Msingi yanayoikabili nchi yetu