Kasri la Malkia Elizabeth limeanza kujiandaa na kifo cha Prince Philip

Nadharia ipi unaiamini kuhusu asili ya Binadamu?

1.Creationism
Mungu aliwaumba Adam na Hawa na kuwapa amri wa zalieane
Kizazi cha Adam na Hawa ndiyo sisi Binadam

2.Evolution
Jamii yote ya viumbe ikiwepo Binadam ni matokeo ya mabadiliko madogo madogo ya viumbe vilivyoishi miaka mingi iliyopita na kanuni ya asili inayoitwa natural selection ndiyo iliyohusika na inayohusika kuongoza mabadiliko hayo kwa kuondoa viumbe dhaifu na kuhakikisha viumbe vyenye nguvu vina faulu kuingia kizazi kingine

Japo Evolution inachukua mamilioni ya miaka kuwa na matokeo yanayoonekana



3.Na nadharia ya tatu ambayo yengi hawaifaham ni Reptilian Race theory
(Haina jina official kwa sababu haipo kwenye mainstream science)

Hii ipo hivi
Ni story kuhusu sisi...Mimi na wewe
Nakurudisha miaka 450,000 nyuma ya leo kuna jamii ya viumbe kutoka sayari ya mbali sana (Extra terrestrial race au alien)
Walikuja duniani kipindi hicho Binadam hatukuwepo Bali kulikua na Jamii ya Primates (aina ya wanyama mfano wa Nyani kwa lugha nyepesi)

Lengo La hawa viumbe ilikua ni kutafuta dhahabu,na dhahabu hii walihitaji kama malighafi ya vyombo vyao vya Anga na baadhi ya technologies zao nyingine

Baada ya kufanya utafiti wakagundua kuwa eneo lenye dhahabu nyingi na za kutosha ni Zimbabwe...... Hujakosea Zimbabwe hii hii ya Afrika

Na walipofika base yao yaliijenga katika eneo ambalo kwa sasa linajulikana kama Sumerian

Tatizo lilikua moja...kazi ilikua ni kubwa sana na wafanyakazi wao walizidiwa

Kama viumbe vyovyote vyenye akili hawa viumbe pia kwa jina la annunaki( tafsiri : wanaotokea angani)
Wakatafuta namna ambayo wanaweza ku rahisisha kazi

Jawabu walilopata lilikua ni moja
Kwa sababu kulikua na jamii ya Primate wakati ule wakatumia sayansi ya kucheza na vinasaba (DNA manipulation) au Genetic engineering kubadili hawa Primate kuwa aina ya viumbe wanaoweza kuwatumia kufanya kazi zao

Walichokifanya ni ku mix vinasaba vyao na vinasaba wa hawa primate kupata kiumbe watatu(Hybrid) ambaye alikua na utaishi kiasi cha kupewa maelekezo na kuyafata

Baada ya hawa viumbe vipya kuzaliana huku kazi yao kubwa ni kuchimba hizo dhahabu

Enki, mwanasayansi mkubwa wa viumbe hawa aliyeongoza Project ya kutengeneza hivi viumbe alitokea kuvipenda

Hii ni hisia ya kawaida kwa creator yoyote yule

So alichokifanya ni ku ongeza utashi wa hawa viumbe siku hadi siku na walipokua wengi baada ya kuzaliana wakawa wanapewa nafasi ya kuishi pamoja na Annunaki kama ndugu

Siku zikaja ambapo hawa viumbe ilibidi warudi walikotoka baada ya mission yao kuisha na hawakutaka kuacha viumbe walivyo viumba peke yao

Waliacha wenzao kuvisimamia

Miaka mingi imepita sasa turudi leo

Hivyo viumbe vilivyotengenezwa ndiyo sisi binadam

Na kizazi cha Annunaki kilichoacha ndiyo hao tunao waitwa Reptilian race au shape shifter
(Wanauwezo wa kubadilika badilika kuwa umbo lolote au MTU yoyote)
Na sio uchawi,ni asili yao

Na hawazeeki kama walivyo nyoka tu

Hii fact : Malkia Elizabeth ana miaka kama 95 ila anaendesha gari kama kijana wa miaka 23


So hawa annunaki ndiyo wapo nyuma ya kila organization kubwa duniani na wao ndio wanaamua dunia iende vipi


Unaweza kuwaita Illuminati au Freemason ila ndiyo viongozi nyuma ya viongozi


Hofu yao kubwa ni?

Wanaweza vipi kutawala jamii ya viumbe zaidi ya Billion 7 na wao wapo wachache?


So solution ni kutupunguza...kwa njia yoyote
Na kutufanya tubaki kuwa wajinga...


Note: nilichokiandika hapo sio ukweli ni nadharia
Conspiracists at his very best
 
Nadharia ipi unaiamini kuhusu asili ya Binadamu?

1.Creationism
Mungu aliwaumba Adam na Hawa na kuwapa amri wa zalieane
Kizazi cha Adam na Hawa ndiyo sisi Binadam

2.Evolution
Jamii yote ya viumbe ikiwepo Binadam ni matokeo ya mabadiliko madogo madogo ya viumbe vilivyoishi miaka mingi iliyopita na kanuni ya asili inayoitwa natural selection ndiyo iliyohusika na inayohusika kuongoza mabadiliko hayo kwa kuondoa viumbe dhaifu na kuhakikisha viumbe vyenye nguvu vina faulu kuingia kizazi kingine

Japo Evolution inachukua mamilioni ya miaka kuwa na matokeo yanayoonekana



3.Na nadharia ya tatu ambayo yengi hawaifaham ni Reptilian Race theory
(Haina jina official kwa sababu haipo kwenye mainstream science)

Hii ipo hivi
Ni story kuhusu sisi...Mimi na wewe
Nakurudisha miaka 450,000 nyuma ya leo kuna jamii ya viumbe kutoka sayari ya mbali sana (Extra terrestrial race au alien)
Walikuja duniani kipindi hicho Binadam hatukuwepo Bali kulikua na Jamii ya Primates (aina ya wanyama mfano wa Nyani kwa lugha nyepesi)

Lengo La hawa viumbe ilikua ni kutafuta dhahabu,na dhahabu hii walihitaji kama malighafi ya vyombo vyao vya Anga na baadhi ya technologies zao nyingine

Baada ya kufanya utafiti wakagundua kuwa eneo lenye dhahabu nyingi na za kutosha ni Zimbabwe...... Hujakosea Zimbabwe hii hii ya Afrika

Na walipofika base yao yaliijenga katika eneo ambalo kwa sasa linajulikana kama Sumerian

Tatizo lilikua moja...kazi ilikua ni kubwa sana na wafanyakazi wao walizidiwa

Kama viumbe vyovyote vyenye akili hawa viumbe pia kwa jina la annunaki( tafsiri : wanaotokea angani)
Wakatafuta namna ambayo wanaweza ku rahisisha kazi

Jawabu walilopata lilikua ni moja
Kwa sababu kulikua na jamii ya Primate wakati ule wakatumia sayansi ya kucheza na vinasaba (DNA manipulation) au Genetic engineering kubadili hawa Primate kuwa aina ya viumbe wanaoweza kuwatumia kufanya kazi zao

Walichokifanya ni ku mix vinasaba vyao na vinasaba wa hawa primate kupata kiumbe watatu(Hybrid) ambaye alikua na utaishi kiasi cha kupewa maelekezo na kuyafata

Baada ya hawa viumbe vipya kuzaliana huku kazi yao kubwa ni kuchimba hizo dhahabu

Enki, mwanasayansi mkubwa wa viumbe hawa aliyeongoza Project ya kutengeneza hivi viumbe alitokea kuvipenda

Hii ni hisia ya kawaida kwa creator yoyote yule

So alichokifanya ni ku ongeza utashi wa hawa viumbe siku hadi siku na walipokua wengi baada ya kuzaliana wakawa wanapewa nafasi ya kuishi pamoja na Annunaki kama ndugu

Siku zikaja ambapo hawa viumbe ilibidi warudi walikotoka baada ya mission yao kuisha na hawakutaka kuacha viumbe walivyo viumba peke yao

Waliacha wenzao kuvisimamia

Miaka mingi imepita sasa turudi leo

Hivyo viumbe vilivyotengenezwa ndiyo sisi binadam

Na kizazi cha Annunaki kilichoacha ndiyo hao tunao waitwa Reptilian race au shape shifter
(Wanauwezo wa kubadilika badilika kuwa umbo lolote au MTU yoyote)
Na sio uchawi,ni asili yao

Na hawazeeki kama walivyo nyoka tu

Hii fact : Malkia Elizabeth ana miaka kama 95 ila anaendesha gari kama kijana wa miaka 23


So hawa annunaki ndiyo wapo nyuma ya kila organization kubwa duniani na wao ndio wanaamua dunia iende vipi


Unaweza kuwaita Illuminati au Freemason ila ndiyo viongozi nyuma ya viongozi


Hofu yao kubwa ni?

Wanaweza vipi kutawala jamii ya viumbe zaidi ya Billion 7 na wao wapo wachache?


So solution ni kutupunguza...kwa njia yoyote
Na kutufanya tubaki kuwa wajinga...


Note: nilichokiandika hapo sio ukweli ni nadharia

Kidogo ingefanana na hii
 
miaka 99 mingi sana hata mtu hawez fight for his life hapo akiwa mahututi
Yule mzee ana miaka 99 inamaana kazaliwa mwaka 1922,leo baba wa taifa JK Nyerere angekuwepo wangekuwa umri mmoja wenzake age mate ya uyo mzee wengi walishakufa kwa hapa bongo ndo kama wakina Gen Msuguli anamiaka 101..uyo Prince mtoto wake wa kwanza kampata mwaka 1947 prince Charls now ana miaka 74 yani mtoto mzee baba mzee mama pia mzee yani dah ela bhana royal family wana enjoy sana....
 
Nadharia ipi unaiamini kuhusu asili ya Binadamu?

1.Creationism
Mungu aliwaumba Adam na Hawa na kuwapa amri wa zalieane
Kizazi cha Adam na Hawa ndiyo sisi Binadam

2.Evolution
Jamii yote ya viumbe ikiwepo Binadam ni matokeo ya mabadiliko madogo madogo ya viumbe vilivyoishi miaka mingi iliyopita na kanuni ya asili inayoitwa natural selection ndiyo iliyohusika na inayohusika kuongoza mabadiliko hayo kwa kuondoa viumbe dhaifu na kuhakikisha viumbe vyenye nguvu vina faulu kuingia kizazi kingine

Japo Evolution inachukua mamilioni ya miaka kuwa na matokeo yanayoonekana



3.Na nadharia ya tatu ambayo yengi hawaifaham ni Reptilian Race theory
(Haina jina official kwa sababu haipo kwenye mainstream science)

Hii ipo hivi
Ni story kuhusu sisi...Mimi na wewe
Nakurudisha miaka 450,000 nyuma ya leo kuna jamii ya viumbe kutoka sayari ya mbali sana (Extra terrestrial race au alien)
Walikuja duniani kipindi hicho Binadam hatukuwepo Bali kulikua na Jamii ya Primates (aina ya wanyama mfano wa Nyani kwa lugha nyepesi)

Lengo La hawa viumbe ilikua ni kutafuta dhahabu,na dhahabu hii walihitaji kama malighafi ya vyombo vyao vya Anga na baadhi ya technologies zao nyingine

Baada ya kufanya utafiti wakagundua kuwa eneo lenye dhahabu nyingi na za kutosha ni Zimbabwe...... Hujakosea Zimbabwe hii hii ya Afrika

Na walipofika base yao yaliijenga katika eneo ambalo kwa sasa linajulikana kama Sumerian

Tatizo lilikua moja...kazi ilikua ni kubwa sana na wafanyakazi wao walizidiwa

Kama viumbe vyovyote vyenye akili hawa viumbe pia kwa jina la annunaki( tafsiri : wanaotokea angani)
Wakatafuta namna ambayo wanaweza ku rahisisha kazi

Jawabu walilopata lilikua ni moja
Kwa sababu kulikua na jamii ya Primate wakati ule wakatumia sayansi ya kucheza na vinasaba (DNA manipulation) au Genetic engineering kubadili hawa Primate kuwa aina ya viumbe wanaoweza kuwatumia kufanya kazi zao

Walichokifanya ni ku mix vinasaba vyao na vinasaba wa hawa primate kupata kiumbe watatu(Hybrid) ambaye alikua na utaishi kiasi cha kupewa maelekezo na kuyafata

Baada ya hawa viumbe vipya kuzaliana huku kazi yao kubwa ni kuchimba hizo dhahabu

Enki, mwanasayansi mkubwa wa viumbe hawa aliyeongoza Project ya kutengeneza hivi viumbe alitokea kuvipenda

Hii ni hisia ya kawaida kwa creator yoyote yule

So alichokifanya ni ku ongeza utashi wa hawa viumbe siku hadi siku na walipokua wengi baada ya kuzaliana wakawa wanapewa nafasi ya kuishi pamoja na Annunaki kama ndugu

Siku zikaja ambapo hawa viumbe ilibidi warudi walikotoka baada ya mission yao kuisha na hawakutaka kuacha viumbe walivyo viumba peke yao

Waliacha wenzao kuvisimamia

Miaka mingi imepita sasa turudi leo

Hivyo viumbe vilivyotengenezwa ndiyo sisi binadam

Na kizazi cha Annunaki kilichoacha ndiyo hao tunao waitwa Reptilian race au shape shifter
(Wanauwezo wa kubadilika badilika kuwa umbo lolote au MTU yoyote)
Na sio uchawi,ni asili yao

Na hawazeeki kama walivyo nyoka tu

Hii fact : Malkia Elizabeth ana miaka kama 95 ila anaendesha gari kama kijana wa miaka 23


So hawa annunaki ndiyo wapo nyuma ya kila organization kubwa duniani na wao ndio wanaamua dunia iende vipi


Unaweza kuwaita Illuminati au Freemason ila ndiyo viongozi nyuma ya viongozi


Hofu yao kubwa ni?

Wanaweza vipi kutawala jamii ya viumbe zaidi ya Billion 7 na wao wapo wachache?


So solution ni kutupunguza...kwa njia yoyote
Na kutufanya tubaki kuwa wajinga...


Note: nilichokiandika hapo sio ukweli ni nadharia
Shukran kwa elimu
 
Nadharia ipi unaiamini kuhusu asili ya Binadamu?

1.Creationism
Mungu aliwaumba Adam na Hawa na kuwapa amri wa zalieane
Kizazi cha Adam na Hawa ndiyo sisi Binadam

2.Evolution
Jamii yote ya viumbe ikiwepo Binadam ni matokeo ya mabadiliko madogo madogo ya viumbe vilivyoishi miaka mingi iliyopita na kanuni ya asili inayoitwa natural selection ndiyo iliyohusika na inayohusika kuongoza mabadiliko hayo kwa kuondoa viumbe dhaifu na kuhakikisha viumbe vyenye nguvu vina faulu kuingia kizazi kingine

Japo Evolution inachukua mamilioni ya miaka kuwa na matokeo yanayoonekana



3.Na nadharia ya tatu ambayo yengi hawaifaham ni Reptilian Race theory
(Haina jina official kwa sababu haipo kwenye mainstream science)

Hii ipo hivi
Ni story kuhusu sisi...Mimi na wewe
Nakurudisha miaka 450,000 nyuma ya leo kuna jamii ya viumbe kutoka sayari ya mbali sana (Extra terrestrial race au alien)
Walikuja duniani kipindi hicho Binadam hatukuwepo Bali kulikua na Jamii ya Primates (aina ya wanyama mfano wa Nyani kwa lugha nyepesi)

Lengo La hawa viumbe ilikua ni kutafuta dhahabu,na dhahabu hii walihitaji kama malighafi ya vyombo vyao vya Anga na baadhi ya technologies zao nyingine

Baada ya kufanya utafiti wakagundua kuwa eneo lenye dhahabu nyingi na za kutosha ni Zimbabwe...... Hujakosea Zimbabwe hii hii ya Afrika

Na walipofika base yao yaliijenga katika eneo ambalo kwa sasa linajulikana kama Sumerian

Tatizo lilikua moja...kazi ilikua ni kubwa sana na wafanyakazi wao walizidiwa

Kama viumbe vyovyote vyenye akili hawa viumbe pia kwa jina la annunaki( tafsiri : wanaotokea angani)
Wakatafuta namna ambayo wanaweza ku rahisisha kazi

Jawabu walilopata lilikua ni moja
Kwa sababu kulikua na jamii ya Primate wakati ule wakatumia sayansi ya kucheza na vinasaba (DNA manipulation) au Genetic engineering kubadili hawa Primate kuwa aina ya viumbe wanaoweza kuwatumia kufanya kazi zao

Walichokifanya ni ku mix vinasaba vyao na vinasaba wa hawa primate kupata kiumbe watatu(Hybrid) ambaye alikua na utaishi kiasi cha kupewa maelekezo na kuyafata

Baada ya hawa viumbe vipya kuzaliana huku kazi yao kubwa ni kuchimba hizo dhahabu

Enki, mwanasayansi mkubwa wa viumbe hawa aliyeongoza Project ya kutengeneza hivi viumbe alitokea kuvipenda

Hii ni hisia ya kawaida kwa creator yoyote yule

So alichokifanya ni ku ongeza utashi wa hawa viumbe siku hadi siku na walipokua wengi baada ya kuzaliana wakawa wanapewa nafasi ya kuishi pamoja na Annunaki kama ndugu

Siku zikaja ambapo hawa viumbe ilibidi warudi walikotoka baada ya mission yao kuisha na hawakutaka kuacha viumbe walivyo viumba peke yao

Waliacha wenzao kuvisimamia

Miaka mingi imepita sasa turudi leo

Hivyo viumbe vilivyotengenezwa ndiyo sisi binadam

Na kizazi cha Annunaki kilichoacha ndiyo hao tunao waitwa Reptilian race au shape shifter
(Wanauwezo wa kubadilika badilika kuwa umbo lolote au MTU yoyote)
Na sio uchawi,ni asili yao

Na hawazeeki kama walivyo nyoka tu

Hii fact : Malkia Elizabeth ana miaka kama 95 ila anaendesha gari kama kijana wa miaka 23


So hawa annunaki ndiyo wapo nyuma ya kila organization kubwa duniani na wao ndio wanaamua dunia iende vipi


Unaweza kuwaita Illuminati au Freemason ila ndiyo viongozi nyuma ya viongozi


Hofu yao kubwa ni?

Wanaweza vipi kutawala jamii ya viumbe zaidi ya Billion 7 na wao wapo wachache?


So solution ni kutupunguza...kwa njia yoyote
Na kutufanya tubaki kuwa wajinga...


Note: nilichokiandika hapo sio ukweli ni nadharia
Dah yan kila nilivyokuwa nasoma bas ndo nikawa najaa na kitu rohoni nlitaka niandike bonge la quote baada ya kumaliza kusoma.

Sema nlivyokutana na neno "ni nadharia tu basimebidi niwe mpole'
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    28.5 KB · Views: 2
Huwa nawaza tu kwamba karne zijazo Science ya genetics ya mwili wa mwanadamu inaweza kufikia pahala mwanadamu mzee kupewa dawa ambayo inaweza ku- stimulate body tissues zote zikaanza kufanya kazi tena kama alivyokuwa na 25yrs.

Hii itafanya binadamu kuishi miaka mingi kama walivyoishi kina Yakob, Isaka, Mussa - zaidi miaka 200 hadi 300+
 
Huwa nawaza tu kwamba karne zijazo Science ya genetics ya mwili wa mwanadamu inaweza kufikia pahala mwanadamu mzee kupewa dawa ambayo inaweza ku- stimulate body tissues zote zikaanza kufanya kazi tena kama alivyokuwa na 25yrs.

Hii itafanya binadamu kuishi miaka mingi kama walivyoishi kina Yakob, Isaka, Mussa - zaidi miaka 200 hadi 300+
Tutakua wengi sana duniani na resources hazita tosha. Fikiria essential things kama maji, hewa na chakula.
 
Afu nasikia kama ukiondoka na walau kijiko tu toka kasri hilo la kifalme basi ukirudi bongo we doni wa kutupwa - niulize why - hadi vijiko ni almasi tupu !!
 
Afu nasikia kama ukiondoka na walau kijiko tu toka kasri hilo la kifalme basi ukirudi bongo we doni wa kutupwa - niulize why - hadi vijiko ni almasi tupu !!
Kuna habari kuwa Mwalimu alipokua anadai Uhuru alikaribishwa chai kwenye Kasri hilo.

Sinia , bakuli la sukari, kikombe cha maziwa na vijiko vilikua vya dhahabu. Walimwambia hii ni dhahabu ya Tanganyika. Walimpandisha hasira lakini hawakujua. Baada ya uhuru ndipo alipokataa uchimbaji wa madini.
 
Tutakua wengi sana duniani na resources0 hazita tosha. Fikiria essential things kama maji, hewa na chakula.
kwa hiyo recycling aliyoiumba Mungu Ipo sawa kwamba after 70 yrs unakuwa kwenye list of favourites !!

Point yako ni sawa na ndiyo maana wanasayansi nguli wanahaha kutafuta uwezekano wa wengine kwenda kuishi sayari ya Mars !!
 
Back
Top Bottom