Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,628
- 2,721
Ehehehe🤣🤣🤣 ngachoka,yeah mengi sana,Siwezi kuamini huo upumbavu. Ni sawa na kuamini nadharia ya Annunaki na uwepo wa hizo 15 rept and humanoid families. Mbona wanakufa sasa kama wanauwezo wa kujigeuza maumbo yoyote au binadamu yeyote?!
Dunia ina mambo kweli😆😆
Ila kuna vitu huwa wanaficha kweli vinavyohusu familia zao mpaka certain period of time alafu wanaviweka kwenye public knowledge,ila sio hayo maconpiracies,ni family matters tu.