funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Anatenda kama hatendi,...
Matendo yake yanafunikwa sana na kelele za mitandaoni lakini namuona ni kiongozi aliyeamua kutizama lengo na adhma yake kwa nguvu ya pekee.
Kwa mawimbi anayopigwa nayo hakika unatambua kwa nini Mamlaka ya Uongozi ilimsaka na hatimaye kumpa hatamu.
Tumuombee,Tumtie nguvu,tumsupport na atatufikisha palipotakiwa bila shaka.
Ni Iron lady wa Tanzania na atafanikisha mengi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Wale watakaokuja na replies za uchawa niwatahadharishe kuwa sijawahi kuwa na nasaba za uchawa na kamwe sitokuwanazo ...I SPEAK THE TRUTH,I RECALL THE BEST MOMENTS,I REMINDE THE EXPERIENCIES,THE PROMISES,THE FAILURES,I WARN AGAINST THE THREAT, THE LIES , THE FAKING AND I PREDICT THE GREATNESS FOR TANZANIA!!
Matendo yake yanafunikwa sana na kelele za mitandaoni lakini namuona ni kiongozi aliyeamua kutizama lengo na adhma yake kwa nguvu ya pekee.
Kwa mawimbi anayopigwa nayo hakika unatambua kwa nini Mamlaka ya Uongozi ilimsaka na hatimaye kumpa hatamu.
Tumuombee,Tumtie nguvu,tumsupport na atatufikisha palipotakiwa bila shaka.
Ni Iron lady wa Tanzania na atafanikisha mengi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Wale watakaokuja na replies za uchawa niwatahadharishe kuwa sijawahi kuwa na nasaba za uchawa na kamwe sitokuwanazo ...I SPEAK THE TRUTH,I RECALL THE BEST MOMENTS,I REMINDE THE EXPERIENCIES,THE PROMISES,THE FAILURES,I WARN AGAINST THE THREAT, THE LIES , THE FAKING AND I PREDICT THE GREATNESS FOR TANZANIA!!
