Kashfa ya SAKATEL vs TTCL

NINI Kifanyike kwa mambo kama haya ili YAISHE?


  • Total voters
    59
Mkuu Bukililo, jitahidi uwe unanisoma kwa makini kwa sababu ni nadra sana kwangu kufanya makosa kwenye uchaguzi wa maneno ninayotumia!!!

Post yangu nimetaja na kuweka msisitizo kwenye "high profile politicians." Hao ulionitajia wote, HAKUNA hata mmoja ambae ni just a politician let alone high profile politician!!

I've my own theory about corruption which states that, "to every corrupt business person, there's AT LEAST one high profile politician or government executive behind him/her."

Nchi hii inaangamizwa sana na wanasiasa! Hao uliowataja wamefanikisha ufisadi wao kwa sababu ya high profile politicians or government executives behind them or both!

Na hata ukiisoma hii habari, unakuta waliotajwa na high profile politicians!!!

Lakini JPM tangia ameingia sijaona aki-deal na hawa high profile politicians, and in fact, even top government executives. In short, ni sahihi hata nikisema ama anawafumbia macho au anawalinda!!!

Kama nachosema ni uongo, nitajie MMOJA tu kama nilivyomwambia mwenzako! Usitoe jibu la swali ambalo sijauliza!!!

My concern always been about high profile politicians and top government officials cuz' hawa business executives, kila siku watatumia mbinu yoyote kupata watakacho! And as a matter of fact, mimi mgomvi wangu ni kiongozi anayelipwa kwa kodi yangu na sio hawa akina Singasinga!!!

SASA JIBU HILO SWALI kutokana na vile nilivyouliza....
Mkuu unataka wale wastaafu wakamatwe?, wakati unajua kabisa kuwa wanalindwa kwa mujibu wa katiba.

Alishasema hatofukua makaburi, akimaanisha kwamba atashughulika na hawa wapigaji wa awamu yake na baadhi ya wapigaji wa awamu iliyopita.

Usitegemee kumuona BWM akishtakiwa lakini haina maana kwamba ukimuondoa yeye waliobakia chini yake hawakamatiki.

Ni kuhamisha magoli kwa mtu kuendelea kusema mbona fulani hajamgusa, wakati ukweli ni kwamba tangu tupate uhuru hakuna kipindi ambacho TAKUKURU imekuwa ikifanya kazi nzito kama hiki cha sasa.
 
Mkuu unataka wale wastaafu wakamatwe?, wakati unajua kabisa kuwa wanalindwa kwa mujibu wa katiba.

Alishasema hatofukua makaburi, akimaanisha kwamba atashughulika na hawa wapigaji wa awamu yake na baadhi ya wapigaji wa awamu iliyopita.

Usitegemee kumuona BWM akishtakiwa lakini haina maana kwamba ukimuondoa yeye waliobakia chini yake hawakamatiki.

Ni kuhamisha magoli kwa mtu kuendelea kusema mbona fulani hajamgusa, wakati ukweli ni kwamba tangu tupate uhuru hakuna kipindi ambacho TAKUKURU imekuwa ikifanya kazi nzito kama hiki cha sasa.
Naona wewe ndo unaehamisha magoli. Kwani high profile politicians ni marais peke yao?! Au waliotajwa kwenye hii thread ni marais?!

Aidha, hilo la kwamba nisitarajie eti akina BMW wanaweza kushitakiwa nishasema sana hapa na mimi wala sitarajii hilo kutokea! Na kwavile umesema kwamba "...haina maana kwamba ukimuondoa yeye waliobakia chini yake hawakamatiki." Tuone basi wakikamatika na sio tu mdomoni!!!

Kwamba hakuna kipindi TAKUKURU wamefanya kazi kama hivi sasa tangia tupate uhuru; BRILLIANT! Tunataka RESULT na sio maneno!!! Nitajie high profile politicians and top government executives waliofikishwa mahakamani!!! Usiseme tu kwamba jamaa wanapiga kazi ile mbaya... onesha au taja MATOKEO ya hayo unayosema!
 
Naona wewe ndo unaehamisha magoli. Kwani high profile politicians ni marais peke yao?! Au waliotajwa kwenye hii thread ni marais?!

Aidha, hilo la kwamba nisitarajie eti akina BMW wanaweza kushitakiwa nishasema sana hapa na mimi wala sitarajii hilo kutokea! Na kwavile umesema kwamba "...haina maana kwamba ukimuondoa yeye waliobakia chini yake hawakamatiki." Tuone basi wakikamatika na sio tu mdomoni!!!

Kwamba hakuna kipindi TAKUKURU wamefanya kazi kama hivi sasa tangia tupate uhuru; BRILLIANT! Tunataka RESULT na sio maneno!!! Nitajie high profile politicians and top government executives waliofikishwa mahakamani!!! Usiseme tu kwamba jamaa wanapiga kazi ile mbaya... onesha au taja MATOKEO ya hayo unayosema!
Mkuu chige, Kitilya alikuwa kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania kwa sasa yupo nguvuni, unataka high profile executives wa aina gani tena?. Mramba na Yona walishawahi kufungwa, unataka kigogo wa aina gani tena?.

Unaendeleza utamaduni ule ule wa malalamiko. Siku za kuishi zinapita, nchi inabadilika, utendaji serikalini unabadilika. Punguza kukariri maisha.
 
Mkuu chige, Kitilya alikuwa kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania kwa sasa yupo nguvuni, unataka high profile executives wa aina gani tena?. Mramba na Yona walishawahi kufungwa, unataka kigogo wa aina gani tena?.

Unaendeleza utamaduni ule ule wa malalamiko. Siku za kuishi zinapita, nchi inabadilika, utendaji serikalini unabadilika. Punguza kukariri maisha.
Man, you're very funny! Kwanza nimehoji high profile politicians or at least top government official!

Yaani kabisa kabisa unaamini Harry Kitilya ana-fit kwenye hiyo description?! Kitilya ni top government official au retired government official? Au unatakiwa kukumbushwa kwamba Kitilya katoka TRA tangia 2013?!

But you know what; kama kufukua kote umeishia kumpata Harry Kitilya ambae hata huo ufisadi anaotuhumiwa nao hauhusiani na kazi yake TRA basi ume-prove in other way round kwamba, nilichosema ni sahii ndo maana umeshindwa kutaja jina linalo-fit hiyo description!!
 
Man, you're very funny! Kwanza nimehoji high profile politicians or at least top government official!

Yaani kabisa kabisa unaamini Harry Kitilya ana-fit kwenye hiyo description?! Kitilya ni top government official au retired government official? Au unatakiwa kukumbushwa kwamba Kitilya katoka TRA tangia 2013?!

But you know what; kama kufukua kote umeishia kumpata Harry Kitilya ambae hata huo ufisadi anaotuhumiwa nao hauhusiani na kazi yake TRA basi ume-prove in other way round kwamba, nilichosema ni sahii ndo maana umeshindwa kutaja jina linalo-fit hiyo description!!
Mkuu, nchi inasonga mbele. Angalau kwa sasa kazi ya TAKUKURU inaonekana.

Nyinyi ambao siku zote hamchoki kuhamisha magoli, hamuwezi kukwepeka, mmezoeleka.

Heshima ya ofisi za serikali imerudi, zile deals zilizozoeleka, zinafanyika kwa siri kubwa.
 
Mkuu, nchi inasonga mbele. Angalau kwa sasa kazi ya TAKUKURU inaonekana.

Nyinyi ambao siku zote hamchoki kuhamisha magoli, hamuwezi kukwepeka, mmezoeleka.

Heshima ya ofisi za serikali imerudi, zile deals zilizozoeleka, zinafanyika kwa siri kubwa.
Simple and clear... SHOW ME RESULTS! Hii nchi inaumizwa na wanasiasa... nitajie high profile politicians na top government officials waliokumbana na mkono wa TAKUKURU?!

Mbona hili swali ni jepesi sana lakini hutaki kujibu?!

Narudia, wewe ndie unahamisha magoli! From my first post, swali langu lilikuwa:
Unatarajia ata-react vipi?! Nauliza cuz' for what I know JPM hana historia ya ku-deal na matukio ambayo wahusika ni high profile politicians! Kikubwa anachofahamu ni ku-deal na matukio ambayo wahusika ni watendaji wa taasisi na agencies za serikali na mpaka hivi sasa, 2 years later, sijawahi kusikia chochote cha maana kwenye matukio hayo!!! Au bado uchunguzi unaendelea?!

Unaweza kutaja lolote au any high profile politician kutoka CCM ambae amewahi kukumbana na mkono wa JPM kama ambavyo unajaribu kuaminisha watu hapa kwamba "he's no nonsense" president?!
Hiyo ndiyo post yangu yangu ya kwanza ambayo, wakati nimeulizia mafisadi wa kisiasa kwa sababu ndio wapo responsible kwangu, ukanitajia akina Singasinga!!!

Na katika post zako zote, hujajibu hilo swali na hivi sasa umeleta habari za TAKUKURU kujua kazi! Does your answer fit my question?! Sasa ikiwa swali langu ni lile lile sijabadilisha lakini kila wakati unatoa majibu tofauti... ni nani kati yetu aliye hodari wa kuhamisha magoli?! Ikiwa within 24 hours umehamisha magoli zaidi ya mara 3, kwa mwezi?!

Na hapa nasisitiza tena!! Suala la mimi kuhoji kwanini JPM hawachukulii hatua wanasiasa sijaanza jana wala juzi...
 
Simple and clear... SHOW ME RESULTS! Hii nchi inaumizwa na wanasiasa... nitajie high profile politicians na top government officials waliokumbana na mkono wa TAKUKURU?!

Mbona hili swali ni jepesi sana lakini hutaki kujibu?!

Narudia, wewe ndie unahamisha magoli! From my first post, swali langu lilikuwa:
Hiyo ndiyo post yangu yangu ya kwanza ambayo, wakati nimeulizia mafisadi wa kisiasa kwa sababu ndio wapo responsible kwangu, ukanitajia akina Singasinga!!!

Na katika post zako zote, hujajibu hilo swali na hivi sasa umeleta habari za TAKUKURU kujua kazi! Does your answer fit my question?! Sasa ikiwa swali langu ni lile lile sijabadilisha lakini kila wakati unatoa majibu tofauti... ni nani kati yetu aliye hodari wa kuhamisha magoli?! Ikiwa within 24 hours umehamisha magoli zaidi ya mara 3, kwa mwezi?!

Na hapa nasisitiza tena!! Suala la mimi kuhoji kwanini JPM hawachukulii hatua wanasiasa sijaanza jana wala juzi...
Mkuu wewe ni mbishi wa asili, inawezekana na jirani zangu kutoka Kigoma, ambao wanabishana na behewa zima kuanzia Dodoma mpaka Kigoma mjini!!.

High profile ndio hao kina Noni, Ruge, Singa na Kitilya. Ulitaka akamatwe Mkapa, Kikwete na Mwinyi ndio ujue kwamba TAKUKURU wapo kazini?.

Fanya mazabe, tengeneza dili miaka ya sasa uone kama utaachwa utambe mitaani.
 
With these links Celtel was no longer required to pass its traffic through the gateway of the monopoly in Kenya. One Network enabled its subscribers in Kenya, Uganda and Tanzania to roam ...

Founded: 1998

Key people: Mo Ibrahim, Chairman

Headquarters: Amsterdam, Netherlands

Products: G.S.M.-related products
 
SAKATA la uuzwaji wa Kampuni ya Simu ya Airtel iliyokuwa ikiendeshwa kwa ubia na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) limezidi kuchukua sura mpya, huku kigogo aliyeuza kampuni hiyo akiwekwa hadharani.

Kutokana na hali hiyo TTCL imetoa msimamo ikiwataka waliouza kampuni hiyo kwa ‘dili’ kuirejesha mikononi mwao kwa hiari badala ya kusubiri nguvu itumike.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, Omary Nundu ameitaka Airtel kukabidhi mali za kampuni hiyo kwa TTCL ambayo ndiyo wamiliki halali kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.

Nundu ambaye pia aliwahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya awamu ya nne, ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Rais Dk. John Magufuli kumtaka Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango, kufuatilia kwa karibu umiliki wa kampuni hiyo kabla ya mwaka huu kuisha kwa kuwa taarifa alizonazo kampuni hiyo ni mali ya TTCL.

Alisema Kampuni hiyo ya Airtel ambayo ilisajiliwa Novemba 3, 1998 na uongozi wa TTCL kwa mtaji wa Sh bilioni 200 kwa jina la Cellnet iliuzwa kijanja na waliokuwa viongozi wa bodi ya TTCL.

Alisema kupatikana kwa kampuni hiyo ambayo ilikuwa chini ya TTCL kulitokana na kuvunjwa na kugawanywa Shirika la Posta na TTCL Desemba 1993.

Alisema baada ya mgawanyiko huo TTCL ikawa kampuni ya Serikali ikiwa na mtaji wa Sh bilioni 200.

“Julai 21,1999 baada ya miaka sita thamani ya hisa za TTCL zikapanda kutoka bilioni 200 mpaka bilioni 600, baadae Februari 23, 2001 likaja wazo la kubinafsishwa TTCL akajitokeza mtu anaitwa MSI Cellular Investment ,” alisema Nundu.

Alisema mwekezaji huyo alikuja kwa ajili ya kuwekeza katika kampuni ya TTCL katika upande wa simu za mkononi.

Alisema katika uwekezaji huo walikubali kutoa fedha kwa ajili ya kununulia hisa ambazo zilikuwa Dola za Marekani milioni 120 ambazo ni sawa na hisa 1,028,665 kati ya 6,000,000.

“Kwa hesabu hii hawa watu hisa zao ni sawa na asilimia 17.14 si asilimia 35 kama inavyoelezwa, lakini kote wanataja kampuni ina hisa asilimia 35, hili peke yake ni tatizo,” alisema Nundu.

Alisema pamoja na hayo katika mchakato huo ulifanyika ujanjaujanja ambapo mwekezaji huyo hakulipa fedha ambazo aliahidi zipatazo Dola milioni 120, badala yake walilipa Dola milioni 65, huku wakiendelea kuhesabu idadi sawa ya hisa na zile za awali.

Alisema siku hiyo hiyo Serikali ikachukua hisa 20,600,650 sawa na asilimia 25 na mwingine akapewa 14,050,000.

“Hapo sasa Serikali ndo alikuwa na hisa kubwa kwenye Celtel, watu hao wakachukua hisa nyingine 10,250,000 wakampa mwekezaji ambaye hakujulikana hiyo ndio ikapindua vitabu vya mahesabu, ikawa mwekezaji anahisa 24,626,000,” alisema.

Nundu alisema baada ya hapo Celtel ikawa na asilimia 60 na serikali asilimia arobaini na kusababisha bodi ya wadhamini iwe na watu wengi kutoka katika kampuni ya Celtel.

Alisema awali kabla ya yote kampuni hiyo ilianza kumilikiwa na mtu asiyejulikana ambaye alikuwa na hisa moja wakati hisa 999 zikiwa za TTCL.

Alisema baada ya muda hisa hiyo moja akapewa mzungu aliyejulikana kwa jina la David Banfod ambaye alizishika kwa niaba ya mtu kabla ya kuzikabidhi kwa Mtanzania (jina linahifadhiwa kutokana na maadili).

“Baadae hisa hizo alikabidhiwa Mtanzania kwa bahati nzuri ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya Kampuni za Airtel na TTCL (jina tunalo),” alisema Nundu
.

Alisema baada ya kukabidhiwa hisa hizo mwenyekiti huyo aliitisha kikao cha wajumbe wa bodi ambapo kati ya wajumbe tisa walihudhuria watano Watanzania wakiwa wanne na raia mmoja wa kigeni.

Alisema pamoja na kwamba bodi hiyo ilikuwa na wajumbe tisa lakini kikao hicho cha kuiuza kampuni ya Cellnet kilichokutana Agosti 5, 2005 kilikaliwa na wajumbe watano kikiongozwa na mwenyekiti ambaye alibariki kugawanywa kwa hisa zote na kuipatia TTCL hisa moja na hisa 99 wakapewa Celtel.

Alisema kupitia kikao hicho wajumbe hao walibadilisha mawazo na kuinyang’anya TTCL hisa ambayo iliwapa hivyo kuifanya Celtel kumiliki kampuni hiyo kwa asilimia mia moja kwa gharama ya Sh milioni 50.

Alisema badaaye kikao hicho pia kiliamua kuipa Serikali hisa asilimia 65 huku TTCL ikiwa haijapewa kitu na Celtel ikapewa asilimia 35.

“Kutokana na mgwanyo huo gharama za hisa za serikali zikawa Sh milioni 26.6 na wengine wakawa wamechukua hisa za Sh milioni 14.3. Baada ya muda mwenyekiti kwa nafasi yake akachukua hisa nyingine za Sh milioni 10 na kumpatia mwekezaji,” alisema.

Alisema pamoja na mlolongo huo wote Juni 23 mwaka huu kampuni ya TTCL iliwataka Kampuni ya Bhart Airtel wajitoe kutoka TTCL, hivyo iliwalipa hisa milioni 14 kama wamiliki wa Airtel ambazo ni sawa na Sh bilioni 40.

“Katika hisa hizo walichukua Dola milioni 40 kuongeza mtaji wa Celtel wa kuwanyang’anya fedha zote TTCL na baadae kuamua kuwakopesha tena tena dola milioni 28 nje ya bilioni 40, hizo fedha ziliwekewa riba ya asilimia nane, mpaka leo deni limefika Sh bilioni 76.6,”alisema Nundu.

Alisema mambo hayo yote wameyapata baada ya kuifanyia uchunguzi wa usajili na ubinafsishwaji wa kampuni hiyo wakati wakiwa wanatafuta mtu wakufanya naye kazi.

“Sisi tulitafuta tufanye biashara vizuri na wenzetu tukaanza kuchimba ndo tukayaona yote haya tukasema hapa lazima twende tujue mbivu na mbichi kama kuna kulipana tutalipana vipi na tunataka kwenda kistaarabu tu.

“Kwa sababu kila ukichimba unakuta mambo mazito zaidi, tumeomba Serikali ilichukue jambo hili sisi interest ikiwezekana ile kampuni ya Celtel turudishiwe,”alisema Nundu.

Alisema kampuni ilipata mlolongo wa hasara pale ilipolipwa Dola Milioni 65 ya hisa badala ya Dola milioni 120.

“Kampuni hii ilisajiliwa na TTCL, masafa ni ya TTTCL mali zilizotumika kuanzishia kampuni ni za TTCL hivyo hawawezi kusema ni kampuni yao isipokuwa kipindi hicho kulikuwa na viongozi wasio waaminifu ambao siwezi kuwataja kwakuwa wanajijua wakashiriki kuipora kampuni na kuwapa wageni sasa ni vema wakairudisha kistaraabu,” alisema Nundu.

Alisema mchakato uliotumikwa kuipata ni Celtel ni haramu na mpaka sasa ipo kiharamu hivyo ni lazima irudishwe na si kuwapa hisa.

Kwa mujibu wa kumbukumbu zilizopo kwa Msajili wa Makampuni, inaonyesha kuwa umekuwa ukibalidika tajngu ilipoanzishwa Kampuni ya Celtel Tanzania mwaka 2001 hadi Mei 2005.

Kwa wakati huo kampuni hiyo ilikuwa na wakurugenzi wazawa watatu ambapo hadi kufikia Novemba mwaka 2005 aliongezwa mzawa mwingine ambaye kwa sasa ni mbunge mstaafu.

Hata hivyo kati ya wakurugenzi hao pia yupo Mtanzania mmoja (jina tunalo) ambaye alipata kufanya kazi katika taasisi nyeti serikalini.

Naye Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba, alisema menejimenti na wafanyakazi wa kampuni hiyo wanaunga mkono jitihada zinazofanywa na bodi hiyo ili kuhakikisha haki ya Watanzania inapatikana baada ya kudhulumiwa na wajanja wachache.

Source: Mtanzania
 
Airtel Tanzania Limited is the largest telecommunicationscompany in Tanzania by coverage area and the second-largest telecommunications company in Tanzania after Vodacom Tanzania based on total wireless customers, with about 1.7 million users (26 percent market share) by August 2007.

The company is the part of Airtel Africa, the pan African mobile network operator and the largest mobile service provider in Africa outside of South Africa. Airtel Tanzania is the pioneer and part of the "One Network", the world's first borderless network across East Africa.[1]

Airtel Tanzania was the first telecom company to launch General Packet Radio Service/Enhanced Data Rates for GSM Evolution (GPRS/EDGE)[2] service in Tanzanian Market on April 3, 2006. Celtel Tanzania has its headquarters in Celtel House, Dar Es Salaam. On August 1, 2008, Celtel rebranded all of its African operations under the Zain name.[3]

History
Airtel Tanzania was the result of partial privatization of TTCL on February 23, 2001. This was one of the first steps towards full liberalization of the market. In the aftermath, Celtel International, at that time MSI, which has its headquarters in Amsterdam, Netherlands, together with Detecon from Germany, obtained 35% shares from the Government of Tanzania.[4] Thus, the consortium (Celtel International and Detecon ) took over Board and Management control of TTCL and thus made it essentially an autonomous company. Celtel is currently owned by sub group originating from UAE.

Licensed
Celtel Tanzania was licensed as the mobile operator in the country in November 2001. The license was the result of Tanzania Communications Commission ( TCC ) to decide and to change its zonal licenses into national licenses in 1998. The changes was because the numbers of subscribers in the country was very low (i.e. a total of 37,940 in 1998) and operators were concentrating on a few zones only (i.e. the coastal area near Dar es Salaam and Zanzibar).

Celtel Tanzania Partnership
During the privatisation of Tanzania Telecommunications Company Limited ( TTCL ) Celtel International was in partnership with Detecon of Germany. The two companies invested an initial $60 million in TTCL in February 2001 for a 35% shareholding in TTCL. In the new partnership with TTCL, Celtel International agreed to be bound by independent "Expert Determination" in the aftermath of a poor financialperformance of TTCL for the year 2000. Based on this "Expert Determination", Celtel International made an additional $4.96 million payment.

In early August 2005, Celtel Tanzania and TTCL were legally separated, allowing each to administer its own financial and business operations. In this new formally signed agreement between the Tanzanian Government and Celtel Tanzania, TTCL's shareholding structure remained unchanged, with the government of Tanzania holding 65% and Celtel International the remaining 35%. In the aftermath, Celtel Tanzania's structure was changed so as to follow the government’s decision to sell a 25% stake in the cellco to Celtel International for USD28 million.[5]

Acquisition by Zain
On September 2007 Celtel's Parent Company MTC Group was acquired by Zain (Arabic for ‘beautiful, good and wonderful) unifying its different brands in 22 Countries.[6] This led to the rebranding of Celtel Tanzania to Zain Tanzania.

Acquisition by Bharti Airtel
On June 8, 2010, Bharti Airtel struck a deal to purchase of mobile operations in 15 African countries from Zain, a Kuwaiti operator including Zain Tanzania.[7] The company however did not acquire Zain sudan. The firm the changed its name to Airtel Tanzania.

One Network


Airtel Africa Coverage
As of January 2016 Airtel Africa operates in 17 African countries. Marketed as "One Network" airtel was the first telecom company in Africa to provide a border less solution for its customer across the continent. With this service airtel customer can freely roam in other airtel operating countries and use their phone as a local subscriber.[8] This service has been extended to India, Bangladesh and Sri Lanka where airtel Africa users would not have to change their sim cards to operate freely in the three Asian nations.[9]

Recharging while roaming on the "One Network" can be done both in local currency or can be done remotely from one's home country. The airtel money services do not work across borders, however there are plans to implement airtel money between Kenya and Tanzania.[10]

See also
  1. MIC Tanzania Limited (tiGO)
  2. Vodacom Tanzania
  3. Celtel International
  4. Celtel Africa Challenge
  5. Vodacom
  6. 3G Technology
References
  1. [1] Celtel goes borderless, seamless in East Africa
  2. [2] Celtel introduces first GPRS/EDGE service in Tanzania
  3. [3] Global aspirations: leading emerging markets mobile operator Zain rebrands Celtel Africa operations.
  4. "Archived copy" (PDF). Archived from the original (PDF) on 2011-05-19. Retrieved 2008-01-28. Market Liberalization Strategy: 2001-Present
  5. [4] Celtel and TTCL part company
  6. "Zain - about-us - milestones". Zain Group. Retrieved 2015-08-06.
  7. Tripathy, Devidutta; Goma, Eman (8 June 2010). "Bharti closes $9 billion Zain Africa deal". Reuters. Reuters. Retrieved 7 September 2014.
  8. "Airtel Customers in Africa to Now Get Free Incoming Calls While Roaming on its South Asia Network". Database of Press Releases related to Africa - APO-Source. Retrieved 2016-01-06.
  9. "AIRTEL Customers in AFRICA to Get FREE Incoming Calls While International Roaming in India, Sri Lanka and Bangladesh". Telecom Talk. Retrieved 2016-01-06.
  10. "Airtel Ghana". africa.airtel.com. Retrieved 2016-01-06.
External links
  1. tz.celtel.com
  2. Celtel's official website
 
Back
Top Bottom