Lisemwalo lipo ni vyema tuendelee kuchunguza yapo mengi yataibuka kama wenye mamlaka hawataficha Ukweli mapema kama walivyofanya kwenye makinikiaNimesoma post ya urambo tabora inasema Saskatel wakawa wanaihujumu TTCL ili waiimarishe Hits. Na wamekusanya billions ambazo hazipo kwenye akaunti ya TTCL.