Kashfa ya SAKATEL vs TTCL

Kashfa ya SAKATEL vs TTCL

NINI Kifanyike kwa mambo kama haya ili YAISHE?


  • Total voters
    59
Kuna Uzi ushafunguliwa huko wa kuwatetea Airtel.Mbwa ukimjua jina hakusumbui.


Nimeusoma.na sioni.mahali Airtel ilitetewa. Watu wanahoji approaches za Rais kwenye kusimamia hizi issues na madhara yake. Wewe naona hutaki mawazo mbadala.
 
Nimeusoma.na sioni.mahali Airtel ilitetewa. Watu wanahoji approaches za Rais kwenye kusimamia hizi issues na madhara yake. Wewe naona hutaki mawazo mbadala.
Hakuna cha approach wala nini. Mtu analeta story za madabida mara ooh watu watakosa ajira na mashudu kibao.Kuna mawazo mbadala yanaeleweka na mara nyingi yanajikita kuleta solution ya jambo, tofaut na mawazo yenu nyie kila hatua inayochukuliwa ni kupinga na kuonesha upande flan unaonewa.In short upande huo haujawah kuwa na mawazo mbadala, huko ni mawazo kupinga kila kitu.Hivi huo upande wenu jpm hakuna zuri alilowahi Fanya?Kingine mkuu Kuna mambo sio lzm uongee,vingine ukiona huwez toa hoja zenye mashiko unakaa kimya tu siku zinaenda Ila hii tabia ya kuhakikisha mnapinga kila jambo la jpm linawacost sana.
 
Hakuna cha approach wala nini. Mtu analeta story za madabida mara ooh watu watakosa ajira na mashudu kibao.Kuna mawazo mbadala yanaeleweka na mara nyingi yanajikita kuleta solution ya jambo, tofaut na mawazo yenu nyie kila hatua inayochukuliwa ni kupinga na kuonesha upande flan unaonewa.In short upande huo haujawah kuwa na mawazo mbadala, huko ni mawazo kupinga kila kitu.Hivi huo upande wenu jpm hakuna zuri alilowahi Fanya?Kingine mkuu Kuna mambo sio lzm uongee,vingine ukiona huwez toa hoja zenye mashiko unakaa kimya tu siku zinaenda Ila hii tabia ya kuhakikisha mnapinga kila jambo la jpm linawacost sana.


Ndugu yangu tatizo lako na wenzio wengi pamoja na JPM ni kitu kinaitwa chauvinism. Ukiwa na hali hii hutoweza kukubali kusikiliza mawazo mbadala.ya wengine. Ni litu cha hatari sana. Nimeona katika hoja zako unalalamika sana watu kumpinga Rais. Yet wewe mwenyewe uko busy kuwapinga wengine na mawazo yao pasi na kuacha kashfa.

Chauvinism is a form of extreme patriotism and a belief in national superiority and glory. Whereas patriotism and nationalism may represent temperate pride, chauvinism is intemperate. It can be also defined as "an irrational belief in the superiority or dominance of one's own group or people". Moreover, the chauvinist's own people are seen as unique and special while the rest of the people are considered weak or inferior!
 
Mpaka JPM anamaliza muda wake, atleast vibaka OG watakuwa wamepungua, sio hao vibaka wa kukwapua bata Madale
 
una
unadhani hajui? anajua sana kuwa mzee mkapa yupo kwenye dili,,ila kwa makusudi hatamgusa kabisa.. hapo wataguswa kina sumaye na wengine na lazima wakome
Mkapa ni Rais mstaafu na ana kinga ya kikatiba dhidi ya mashtaka na madai yoyote yale. Hivyo hoja yenu haina mashiko. Wengine wakithibitika, akiwemo Sumaye, Mwandosya, Chenge na wengineo wasiokuwa na kinga sheria itachukua mkondo.
 
Mkapa ni Rais mstaafu na ana kinga ya kikatiba dhidi ya mashtaka na madai yoyote yale. Hivyo hoja yenu haina mashiko. Wengine wakithibitika, akiwemo Sumaye, Mwandosya, Chenge na wengineo wasiokuwa na kinga sheria itachukua mkondo.
Usikurupuke? Nani katoa hoja hapa na hoja gani unayoiongelea
 
Mkapa ni Rais mstaafu na ana kinga ya kikatiba dhidi ya mashtaka na madai yoyote yale. Hivyo hoja yenu haina mashiko. Wengine wakithibitika, akiwemo Sumaye, Mwandosya, Chenge na wengineo wasiokuwa na kinga sheria itachukua mkondo.
Kwa bongo hii hakuna atakaekamatwa hapo
 
Ndugu yangu tatizo lako na wenzio wengi pamoja na JPM ni kitu kinaitwa chauvinism. Ukiwa na hali hii hutoweza kukubali kusikiliza mawazo mbadala.ya wengine. Ni litu cha hatari sana. Nimeona katika hoja zako unalalamika sana watu kumpinga Rais. Yet wewe mwenyewe uko busy kuwapinga wengine na mawazo yao pasi na kuacha kashfa.

Chauvinism is a form of extreme patriotism and a belief in national superiority and glory. Whereas patriotism and nationalism may represent temperate pride, chauvinism is intemperate. It can be also defined as "an irrational belief in the superiority or dominance of one's own group or people". Moreover, the chauvinist's own people are seen as unique and special while the rest of the people are considered weak or inferior!
Hayo mawazo mbadala mbona hayatolewi.tunachosoma na kusikia ni kupinga hata kwenye ilani yenu mlioitoa kwenye mtandao hamna lolote bora mkae kimya badala ya kuongea upupu
 
(Hapa) At this juncture, Dr Magufuli the current President is the second Mwl Nyerere, he will arrest the situation very soon, he is a no nonsense president.
Unatarajia ata-react vipi?! Nauliza cuz' for what I know JPM hana historia ya ku-deal na matukio ambayo wahusika ni high profile politicians! Kikubwa anachofahamu ni ku-deal na matukio ambayo wahusika ni watendaji wa taasisi na agencies za serikali na mpaka hivi sasa, 2 years later, sijawahi kusikia chochote cha maana kwenye matukio hayo!!! Au bado uchunguzi unaendelea?!

Unaweza kutaja lolote au any high profile politician kutoka CCM ambae amewahi kukumbana na mkono wa JPM kama ambavyo unajaribu kuaminisha watu hapa kwamba "he's no nonsense" president?!
 
Unatarajia ata-react vipi?! Nauliza cuz' for what I know JPM hana historia ya ku-deal na matukio ambayo wahusika ni high profile politicians! Kikubwa anachofahamu ni ku-deal na matukio ambayo wahusika ni watendaji wa taasisi na agencies za serikali na mpaka hivi sasa, 2 years later, sijawahi kusikia chochote cha maana kwenye matukio hayo!!! Au bado uchunguzi unaendelea?!

Unaweza kutaja lolote au any high profile politician kutoka CCM ambae amewahi kukumbana na mkono wa JPM kama ambavyo unajaribu kuaminisha watu hapa kwamba "he's no nonsense" president?!
Mzee Ruge, Singasinga, Kitilya, Sumari, Noni.....hao wote sio watu wadogo na wana kesi nzito za kujibu.

Msipende kuandika vitu kwa kujipa moyo. JPM ni kiongozi anayetaka mambo yaende, ukimletea urasimu lazima atakunyoa kwa kutumia kipande cha chupa.
 
Hayo mawazo mbadala mbona hayatolewi.tunachosoma na kusikia ni kupinga hata kwenye ilani yenu mlioitoa kwenye mtandao hamna lolote bora mkae kimya badala ya kuongea upupu


Tatizo lenu ni kuwaza kuwa kila mwenye mtazamo au mawazo mbadala ni mpinzani wa siasa na tena atakuwa ni CHADEMA tu. Watu wengine hata kwenye siasa hawamo na haiwazuii kufikiria tofauti na nyinyi. Mmejawa na woga wa kisiasa uliopitiliza bila sababu yeyote.
 
Mzee Ruge, Singasinga, Kitilya, Sumari, Noni.....hao wote sio watu wadogo na wana kesi nzito za kujibu.

Msipende kuandika vitu kwa kujipa moyo. JPM ni kiongozi anayetaka mambo yaende, ukimletea urasimu lazima atakunyoa kwa kutumia kipande cha chupa.
Mkuu Bukililo, jitahidi uwe unanisoma kwa makini kwa sababu ni nadra sana kwangu kufanya makosa kwenye uchaguzi wa maneno ninayotumia!!!

Post yangu nimetaja na kuweka msisitizo kwenye "high profile politicians." Hao ulionitajia wote, HAKUNA hata mmoja ambae ni just a politician let alone high profile politician!!

Nchi hii inaangamizwa sana na wanasiasa! Hao uliowataja wamefanikisha ufisadi wao kwa sababu ya high profile politicians or government executives behind them or both!

Na hata ukiisoma hii habari, unakuta waliotajwa na high profile politicians!!!

Lakini JPM tangia ameingia sijaona aki-deal na hawa high profile politicians, and in fact, even top government executives. In short, ni sahihi hata nikisema ama anawafumbia macho au anawalinda!!!

Kama nachosema ni uongo, nitajie MMOJA tu kama nilivyomwambia mwenzako! Usitoe jibu la swali ambalo sijauliza!!!

My concern always been about high profile politicians and top government officials cuz' hawa business executives, kila siku watatumia mbinu yoyote kupata watakacho! And as a matter of fact, mimi mgomvi wangu ni kiongozi anayelipwa kwa kodi yangu na sio hawa akina Singasinga!!!

SASA JIBU HILO SWALI kutokana na vile nilivyouliza....
 
Duu hii nchi ina mambo makubwa yaliyojificha
Unasikitisha viongozi tuliowaamini ndio wanaiangamiza Tz kwa manufaa yao wenyewe
Shame
 
Back
Top Bottom