LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Ni uonevu mkubwa ikiwa TTCL itaondolewa katika biashara wakati inalazimishwa kupandisha bei ya bidhaa zake ili zilingane na washindani wake.
Iwapo TTCL itaachwa ifanye kazi kibiashara hakuna kampuni itakayokuwa na unafuu kuliko TTCL na TTCL inasaidia sana kudhibiti ongezeko la bei kwa watoa huduma wengine.
Kuondoka kwa TTCL ni maombi ya watoa hudumq wengine na hasa baada Rostam Aziz kununua kampuni ya Tigo Zantel.
Serikali iangalie vizuri suala hili
Iwapo TTCL itaachwa ifanye kazi kibiashara hakuna kampuni itakayokuwa na unafuu kuliko TTCL na TTCL inasaidia sana kudhibiti ongezeko la bei kwa watoa huduma wengine.
Kuondoka kwa TTCL ni maombi ya watoa hudumq wengine na hasa baada Rostam Aziz kununua kampuni ya Tigo Zantel.
Serikali iangalie vizuri suala hili