William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Ni kupoteza muda wa wananchi, na hata mapesa zaidi ya wananchi walipa kodi, maana so far hatujaambiwa huu uchunguzi umeigharimu TAKURU, au serikali shillingi ngapi? Na zimetolewa na nani, katika kujaribu kuwasafisha wasiosafishika?
Katika taarifa yake, Mkurugenzi Hosea, anasema hakuna kiongozi wa serikali anayehusika na katika umiliki wa kampuni hiyo, huku akiwataja wamiliki wa kampuni hiyo kuwa ni Mohamed Gire na Mohamed Haque, wote wanatakiwa kuwa ni raia wa US, ingawa ukweli sasa unajulikana kuwa ni Wasomali, lakini hakuna uhakika kama ni raia wa US, au ni Wasomali wenye asili ya US, hivi kweli ni kiongozi gani mwenye akili timamu hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla, leo mwaka 2006-2007, anayeweza kwenda kuwachukua Wasomali na kuwapa mradi mkubwa wa taifa lao kama huu wa Richmond? Hebu TAKURU, au kamati hiyo ya umeme watuonyeshe kwa ushahidi hawa Wasomali wako kwenye catalog gani duniani au huko US, katika mambo ya energy? Kigezo gani kilitumika kuiteua kampuni hiii ambayo haijadumu hata miaka kumi (10), kwenye hiii field ya energy, na kuziacha kampuni kubwa ambazo zimedumu kwa zaidi hata ya miaka 100 katika fani ya energy?
Leo tunayo orordha ya watoto wa wakubwa wa serikali yetu waliosomeshwa katika mpango huu wa Richmond, na wengine bado wako huko US wakifadhiliwa na huuu m-deal wa Richmond, na tunaweza kutaja kwa majina ikibidi sio siri, sasa mbona TAKURU, hawakusema hayo?
Naseeem Gire, ni Mtanzania according to Hosea, Okay! ana umaarufu gani katika fani ya Umeme, hapa au Marekani? Kwa nini TAKURU, haisemi kuwa ni kwanini aende kufungulia kampuni yake USA katika kipindi cha miezi sita na kupewa zabuni nono kama hii ya Richmond, tena nchini Tanzania? Na kwa nini Richmond, ilianzishwa only miaka miwili tu (2 Years), ninarudia only TWO YEARS, kabla ya uchaguzi wa Rais wa Tanzania, na hatimaye kupewa zabuni hii?
.........Tutaendelea..............!
Katika taarifa yake, Mkurugenzi Hosea, anasema hakuna kiongozi wa serikali anayehusika na katika umiliki wa kampuni hiyo, huku akiwataja wamiliki wa kampuni hiyo kuwa ni Mohamed Gire na Mohamed Haque, wote wanatakiwa kuwa ni raia wa US, ingawa ukweli sasa unajulikana kuwa ni Wasomali, lakini hakuna uhakika kama ni raia wa US, au ni Wasomali wenye asili ya US, hivi kweli ni kiongozi gani mwenye akili timamu hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla, leo mwaka 2006-2007, anayeweza kwenda kuwachukua Wasomali na kuwapa mradi mkubwa wa taifa lao kama huu wa Richmond? Hebu TAKURU, au kamati hiyo ya umeme watuonyeshe kwa ushahidi hawa Wasomali wako kwenye catalog gani duniani au huko US, katika mambo ya energy? Kigezo gani kilitumika kuiteua kampuni hiii ambayo haijadumu hata miaka kumi (10), kwenye hiii field ya energy, na kuziacha kampuni kubwa ambazo zimedumu kwa zaidi hata ya miaka 100 katika fani ya energy?
Leo tunayo orordha ya watoto wa wakubwa wa serikali yetu waliosomeshwa katika mpango huu wa Richmond, na wengine bado wako huko US wakifadhiliwa na huuu m-deal wa Richmond, na tunaweza kutaja kwa majina ikibidi sio siri, sasa mbona TAKURU, hawakusema hayo?
Naseeem Gire, ni Mtanzania according to Hosea, Okay! ana umaarufu gani katika fani ya Umeme, hapa au Marekani? Kwa nini TAKURU, haisemi kuwa ni kwanini aende kufungulia kampuni yake USA katika kipindi cha miezi sita na kupewa zabuni nono kama hii ya Richmond, tena nchini Tanzania? Na kwa nini Richmond, ilianzishwa only miaka miwili tu (2 Years), ninarudia only TWO YEARS, kabla ya uchaguzi wa Rais wa Tanzania, na hatimaye kupewa zabuni hii?
.........Tutaendelea..............!