Kwani kuwa na hela lazima ufanye kazi kwenye taasisi fulani fulani??? hii imedhihirisha kuwa ukifanya kazi kwa bidii na ukajituma basi lazima utoboe,, urofa wako usikufanye uchukie wengine..
Jk kajitafutia maadui baada ya kulikata jina la lile fisadi kuu, na kuzuia mita 200, kuna wajinga wanajidanganya kuwa jp anaweza kumfanya chochote jk, endeleeni kusubir
Mwenye mamlaka aliyepewa kwa mujibu wa sheria afunge huu mjadala...utazuwa mengi na utaleta chuki..si munakumbuka ile clip ya yule dogo wake pia.
Mara hii hachomoi huyoNi juu ya utoroshaji wa Makontena.
Familia yake inasema mwenye ushahidi autoe.
Soure: magazeti.
MY TAKE.
Jamani toeni ushahidi hawa watu si wa kuwachekea kabisa. Tunajiskia hata ugua tukiskia majina yao.
Ni juu ya utoroshaji wa Makontena.
Familia yake inasema mwenye ushahidi autoe.
Soure: magazeti.
MY TAKE.
Jamani toeni ushahidi hawa watu si wa kuwachekea kabisa. Tunajiskia hata ugua tukiskia majina yao.