MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,104
- 22,387
Kasome kwanzaKikwete hana kinga yeyote mwenye kinga ni rais pekee, kama akigundulika alitumia madaraka yake vibaya atapandishwa kizimbani kama wahujumu uchumi wengine.
Kasome kwanzaKikwete hana kinga yeyote mwenye kinga ni rais pekee, kama akigundulika alitumia madaraka yake vibaya atapandishwa kizimbani kama wahujumu uchumi wengine.
Mnapoteza nguvu za bure mwacheni mzee wa watu apumzike.hakuna ushahidi na hata ukipatikana hakuna bado ana kinga
Kwani kuwa na hela lazima ufanye kazi kwenye taasisi fulani fulani??? hii imedhihirisha kuwa ukifanya kazi kwa bidii na ukajituma basi lazima utoboe,, urofa wako usikufanye uchukie wengine..
Jk kajitafutia maadui baada ya kulikata jina la lile fisadi kuu, na kuzuia mita 200, kuna wajinga wanajidanganya kuwa jp anaweza kumfanya chochote jk, endeleeni kusubir
Hivi mtu ukiwa tajiri sana! sana! hata uwe trilionea faida yake ni nn? ukifa unaenda na mali? tumwogope MUNGU
Bado mnaendelea tu kumsakama huyu jamaa na familia yake??? Uzuri wake hata JPM anajua kwanini mnamsakama JK,, kosa lake ni yale majina ya mfukoni,,, kukatwa kwa bwana wenu ndio kunaleta yote haya kila kukicha,, leo x-mass tu kuna thread tatu humu zote anasakamwa JK na familia yake... JK ATABAKI KUWA MWANAUME WA 2015..
mpk.......labda wewe na mimi tunajuwa kitu..ni kheri tumfanyie stara yeye na familia yake
Mstari wa mwisho;wana ccm wenye wake wazuri walikuwa na hofu,kidogo ubunge wa kuteuliwa,kama ana wowowo utashtuka tu kapewa udc!Kiukweli wanaume walikuwa wanasononeka mioyoni,walau sasa wana amani!