Alibaka mwanafunzi............
malizia amkapa mimba akamzalisha akakatisha masomo yake na yeye kwa busara za baba akafukuzwa kazi nashangaa kuwa ni katiba wakati aliharibu mwelekeo mmoja wa mtanzania mwenzetu
Alibaka mwanafunzi............
malizia amkapa mimba akamzalisha akakatisha masomo yake na yeye kwa busara za baba akafukuzwa kazi nashangaa kuwa ni katiba wakati aliharibu mwelekeo mmoja wa mtanzania mwenzetu
so output ya mimba hiyo ni January am Mwamvita makamba.?
kwa kuwa kuna upungufu wa walimu tunaomba mama salma na makamba warudiswe kufundisha nursery
Alibaka mwanafunzi............
Alim..babu Seya mwanafunzi wa shule ya Msingi (under 16?)
kaka wewe uaakili kama za dr SLAAUnataka kusema kuwa hizi ndio sifa za MAKAMBA?:-
Dah hii sikuwahi kuithink before, nimeongea Kiingereza ili mnaosema kuwa sisi walimu wa UPE tuna hali mbaya kwenye ki INGRISHY
- Hana shule
- Mbakaji
Wakuu... lets lift JF jamani iwe na heshima zaidi.... kama ana tuhuma za kubaka basi ziwe na uthibitisho au ushahidi fulani, hii ya kuweka blanket namna hii naona inashusha hadhi
kubaka??!!!!!!!!!!!!
kijana uwe na adabu. that is too much, stick on his abilities na si kumtusi.