Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,804
- Thread starter
- #41
Asimseme Slaa bure, wakati haya ya kwake ni mazito na yanatia kichefuchefu
huyu babayangu jamani kila mtu anamakosa yake akuna aliye msafi mi sina comment kwa baba makamba
kama alikuwa mwanafunzi wa shule ya msingi hata kama alikuwa na zaidi ya miaka 18 bado analindwa na sheria, ukimpa mimba ni kifungo tu.
Kutongoza, kuzini au kubaka kwa mwanafunzi wa shule ya msingi ni kosa la jinai, tatizo wazazi walio wengi huona aibu au huruma hivyo kuwaacha waharibifu kama makamba wakitesa.
Ukisikia watu kujiona kuwa juu ya sheria, huu ni mfano wao.
Mtu ana kesi ya ubakaji na bado polisi wanamuangalia tu kama hakuna kilichotokea.
Kweli usilo lijua ni kama usiku wa giza.
Mshikaji hodara sana wa kunukuu vifungu vya maandiko matakatifu kumbe hana lolote.
MBAKAJI!!!!!!!!!![/COLOR]
Mwenye elimu duni ni yupi yule amabaye hajaenda shule au yule aliyesoma havard lakini maamuzi yake hayaendani na Havard. Kwangu Makamba anawazidi kielimu wasomi wengi ndani ya CCM
Sio kwamba namtetea kuwa Makamaba ni safi but hii ya kubaka ni kashfa nzito. Ikiwezekna mleta hoja fuatilila kwa msaada hata wa vyombo vya habari kutafuta familia ya muathirika haki itendeke.
Changamoto kwa wajasiriamali. Naona kuna opportunity ya Kuanzisha NGO au kampuni ye ku-profile watu . Maana tuna prile za watu wengi kwa mujibu wa wao wenyewe lakini hatuna profile ambazo zimetayarishwa huru. Teh Teh Teh
Alibaka mwanafunzi............
kubaka??!!!!!!!!!!!!
kijana uwe na adabu. that is too much, stick on his abilities na si kumtusi.
raping is one of his abilities! That is why when he was DSM RC, he was also chasing 'machangudoa' in Ohio street during the night pretending to stop prostitution. As a RC, he could order RPC to do that and not himself!!!!!!!!!
Wakuu... lets lift JF jamani iwe na heshima zaidi.... kama ana tuhuma za kubaka basi ziwe na uthibitisho au ushahidi fulani, hii ya kuweka blanket namna hii naona inashusha hadhi