Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Je umewahi kuisikia hii?
Makamba kielimu yuko duni, nasikia tetesi kuwa aliwahi kuwa mwalimu wa UPE, ambako sijui alihusishwa na tukio la ubakaji mtoto wa shule, kisha akadondokea Jeshi , ni darasa la saba fulani hivi, ni sawa na kina Lukuvi, na Tz kama hujaenda shule nafasi yakuongea kingereza ni ndogo, maana hakizungumzwi mtaani.