Hata wakiondolewa haitasaidia lolote!Sanasana wengine wataona ndiyo nafasi yao ya kula!
Kwa taarifa yako hapo ni mwanzo tu,bado kuna hongo ya kupangiwa kwenye ulaji zaidi.Kuna mikoa ambayo haupangiwi hadi uhonge!Na si mikoa tu,mfano askari wanapenda pia kupangiwa sehemu ambazo zinahusisha uvushaji wa magendo na maliasili,ama usafirishaji wa magendo na madawa ya kulevya nk.Pia hata wengine hupenda kupangiwa mikoa yenye ulaji wa kutosha kwenye traffic police.The system is rotten!
Namna ya kudeal na tatizo hili si kubadilisha hao kina Mwema na Chagonja,tatizo ni ccm na mfumo tulionao(chini ya ccm),period!
Huwezi kuwa na rushwa ndani ya chama chenye nguvu kuliko serikali halafu utegemee eti rushwa itaisha serikalini kwa kufuta viongozi hapa na pale.