Kashfa ya kutisha jeshi la Polisi

Usalama wa raia na mali zao unasimamiwa na wahalifu tutegemee nini? Jeshi ovu haliwezi kulinda usalama wa raia yeyote zaidi ya kuwakandamiza na kuwashindilia risasi
 
Why mpaka leo Mrs. Chagonja ajakamatwa na kupelekwa mahakamani?why wanakamatwa dagaaa kila siku(komba) mapapa wanaachwa?
 
Hata ukipiga hiyo namba iliyotolewa hapo juu inabidi utoe rushwa ili ipokelewe
 
Dawa ya upumbafu kama huo ni
wetu sisi wananchi hasa walio zezeta katika kupambana na maisha yao,
naomba adhabu kubwa ianzie kwa hao vijana ambao ni vilaza wanao amini
uwezi fanikiwa bila hongo, na hao ndio watakuwa wa kwanza kuomba rushwa
baada ya kumaliza mafunzo, nadhani elimu na uraia inatakiwa kwa vijana
wote, huko wapi uzalendo wa nchi yao,je huko police kuna biashara gani
hadi utoe laki nane, rushwa itakwisha siku watoa rushwa wataacha kutoa,
waombaji wapo siku zote,
Amka vijana
Amka tanzania

umenena mkuu, uko sahihi
 
Inaniwia ngumu kidogo kuamini nilichokisoma kwenye uzi hii. Inakuwaje watu wafikishwe chuo cha Polisi, watumie facilities za chuo cha Polisi bila Polisi wenyewe kuhusishwa au kujua? Kama hivyo ndivyo ilivyo, basi tuko uchi!
 
Muda si mrefu hii nchi itakuwa brain dead, recruitment ya security instruments inapochezewa sijui tutaponaje.
 
Haya, polisi wamegundua hili bado tunawapa lawama, je? wasingegundua zikaja taarifa za kiutafiti pia tungetoa lawama. hapa mimi nawapongeza saaana JESHI LA POLISI limegutuka mapema.

Na natoa ushauri pia kwa jeshi hilo lirudishe utaratibu wa zamani wa kusimamia ajira wao wenyewe kuliko sasa, kazi ya jeshi kusimamiwa na raia hapa ndipo kosa lilipoanzia na lawama nzima inaelekezwa kwenu ,unajua hata meneja wa idara ya maji akiwa mzembe na kusababisha ukosefu wa maji eneo fulani jamii ikikasirika na kutaka kuvunja sheria jeshi la polisi likija na kuzuia hali ile baasi lawama zote tutazielekeza kwao.

Hivyo ni vyema jeshi la polisi likajitazama na kuwa bora nyakati zote kimaadili na kiutendaji mnakumbuka mhMREMA bila kwenda depo lkn alijiita polisi no 1 na kuanza kuvuruga kikazi kila eneo mpaka akapewa unaibu waziri mkuu hewa.
 
Umenifurahisha mzee uliposema nchi ya ushikaji. Mimi nilisoma na mtu mmoja mjinga alikuwa anaburuta mkia shuleni! Baadaye akatokomea kwenye ualimu, sasa ni katibu mkuu tamisemi. Kazi yake pale ni kuvua sketi makatibu mhutasi na watumishi. Idara moja amejaza wake zake. Mpaka mmoja amempeleka kusoma saut-mwanza kwa gharama zake. Hakika nchi hii inahitaji maombezi.
 
mtowa na mpokeaji wote wachukuliwe hatua kali,vitu tunajitakia ss wenyewe kama watz,vijana kwel rushwa na ajira wapi?
 
polisi usajili wao uanzia mikoani kwa ma RPC.pale ccp ni usajili wa mwisho.
advera yy aliingiaje polis akitokea ufundi
 
Hii ndo serikali ya ccm bana
[FONT=comic sans
ms]Kwa mjibu wa msemaji wa jeshi la Polisi Advera Senso kupitia
Clouds Fm leo asubuhi mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja kama Komba
ameshakamatwa kuhusiana na kuwepo mtandao mkubwa ndani na nje ya jeshi
hilo unajiusisha na kuwalaghai vijana wanaotaka kujiunga na jeshi la
polisi......
[/FONT]
 
Yeye anayetoa Rushwa ili aajiriwe polisi na mpokeaji wote majizi tu, kuna haja gani ya kuhonga ili uwe polisi?!! kwani lazima uajiriwe polisi?!! hata ukilima bado utakua umeitumikia nchi yako kupitia eneo hilo la kilimo...nchi imegeuka kuwa ya kitapeli tapeli tuuu
 
Polisi ni mhimili mmojawapo wa kupambana na rushwa ,hivi kweli wa Jm hawa jamaa wanastahili hiyo sifa?,hii kweli inatisha.
 
Back
Top Bottom