Kashfa ya kutisha jeshi la Polisi

Kashfa ya kutisha jeshi la Polisi

images


Ndiko tulipofikia Watanzania...upolisi au ujambazi!
Kaazi kweli kweli!
 
Tatizo kibongobongo bila rushwa hatutoki, na pia tulivokua na elimu za kuungaunga mpaka tutoe milungula ndo maisha yaende, na ukmwona mtu kapata jiulze katokea wapi na kapata vp, utatamani ukaandike tamthiliya tena very attractive na ikauza.
 
hii inanipa picha sehemu ndogo tuu mchango wa hela za kampeni ya uchaguzi, hawa jamaa husika at the top ni vicheche balaa, harakati zazidi pamba moto nyie subirini tu vituko vijavyo utaona yaliyopita mfano ARV feki nk chamtoto. hii skendo ya hawa mapolisi kali sana yaani kama assembly line jinsi wale jamaa wanafukuzwa alafu wanakutana na wengine ndo wanaingizwa chaka. lazima nivue kofia tena nawapa 10 out of 10 kwa ubunifu despite the apparent impunity and immunity for wajanja husika, kwa mwenendo huu hata wanigeria wataanza ogopa wabongo manake we are very fast learners. inatisha kasi ya CCM bcoz design fulani watachangisha hela tosha kununua kura zote.
 
Kama polisi wanapatikana kwa mchakato wa rushwa, katu, na asilani, hawawezi kupambana nayo. Kazi tunayo kama taifa kwa kweli.
 
Unategemea nini katika mfumo huu uliooza walioko madarakani wanavyeti vya kufoji, kila kitu ni forgery hakuna hatua inayochukuliwa, mfumo corrupt, viongozi corrupt. Hamna jipya.
 
Back
Top Bottom