masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 788
Na hao nao wakamatwe kwa kuwa ni watoa rushwa...unatafuta kazi kwa kutoa laki 8/milioni wakati kazi yenyewe ni maghumashi? Ama hakika Tanzania ni full mizengwe na huu utaratibu ni KAWAIDA saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana na hata hawa wakubwa wenyewe wanakula hizi hela ama wanawapeleka watu kwa MEMO tu kibao ndo mfumo wa Tanzania. Hapa IGP kachezeshwa (hakulambishwa chake) ndo maana anashikilia kidedea..tsh