Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,506
Mimi sioni tatizo hapo
Frederick, Freeman, Freemason, Freidburg haya ni majina ya Kizungu
Shemtoi, Shelukindo, Shebarua, Shekiondo, Shetani, haya ni majina ya Kisambaa.
Au kuna la zaidi hapo. Mbona kuna watu hapa wanaitwa 'Fool-Ku-Njombe' , ina maana simu zao hazijasajiliwa?
Frederick, Freeman, Freemason, Freidburg haya ni majina ya Kizungu
Shemtoi, Shelukindo, Shebarua, Shekiondo, Shetani, haya ni majina ya Kisambaa.
Au kuna la zaidi hapo. Mbona kuna watu hapa wanaitwa 'Fool-Ku-Njombe' , ina maana simu zao hazijasajiliwa?