Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB


Magu sio wa mchezo mchezo hili atakuwa kesha lichukua subiri watu kutumbuliwa
 
Duuh, Naona umeandika uzi mrefu sana ukilinganisha na ujumbe uliotaka kuufikisha. By the way Pole Sana na Acha kufuatilia dili za watu
Uwe una acha ujinga. Elimu yako itumie ipasavyo!!
 
Uwe una acha ujinga. Elimu yako itumie ipasavyo!!
Bwege wewe, kila kitu unawaza ni elimu tu acheni umbea na majungu mmeajiriwa kufanya kazi kama unaona kampuni inakuboa acha kazi..sio kila kitu mnaanika kwenye mitandao! Pathetic[emoji41]
 
Chapa kazi mheshimiwa Rais wetu Magufuli,wanaanza kukuelewa taratibu.Mungu Ibariki Tanzania yetu.
 
NMB ina matawi kila kona hapa nchini, sasa unaitaje kashfa nzito kwa ishu ya kaeneo kamoja ambapo sioni kama inaathiri sera za benki kwa namna yoyote. Au na wewe ulikuwa unakula kwa wajerumani? Kwa udogo WA suala hili sioni kama ni kashfa nzito
Sijui ulimfuatilia vizuri hoja yake? Jamaa kasema badala ya kuikataa hii teknolojia ya mjerumani ilibidi isambazwe nchi nzima. Pia titizo dogo ndio huzaa tatizo kubwa lililo sugu linaloweza kuathiri sera za bank husika. Mdharau mwiba...
Pia hii ni sehemu tu ya uozo uliokithiri kitengo cha ugavi.
 
Jamaa unashangaa hilo tu mwaka 1983 kulikua na tafiti za kuzalisha umeme toka kwenye maporomoko ya maji huko morogoro kama hicho chanzo kingetumiwa umeme wa mgao Tanzania ungekua ni historia na umeme ungezalishwa mwingi kiasi cha kuweza kuuza nje, ila watu waliona wakielekeza mradi huo uko pesa za umeme wa dharura zisingeweza kupatikana kwaio wakapotezea huku hicho kina kikipungua maji kila mwaka hii nilisoma tu kwenye G.S A -level maana ticha wangu alidokezea tu ila nilishangaa sana...
 
Nadhani, kama ni kweli, hii issue itakuwa case study nzuri sana. Ila siamini kama kweli hii kitu ilifanya kazi. Viongozi wa NMB wasingekataa technolojia yenye manufaa kwa benki yao
 
Bwege wewe, kila kitu unawaza ni elimu tu acheni umbea na majungu mmeajiriwa kufanya kazi kama unaona kampuni inakuboa acha kazi..sio kila kitu mnaanika kwenye mitandao! Pathetic[emoji41]
Hivi una accoint yeyote hata katika simu?
huna elimu na kilichobaki ni kuzifutika kwenye makalio na kuzinywea
Watu wanaokoa Benki zao zitoe huduma safi mijitu mingine ipo kiwiziwizi tu hapa
 
Aiseeeeeee.....Na mimi naomba nitusi walau kiduchu....,!!!!!
 
Hivi una accoint yeyote hata katika simu?
huna elimu na kilichobaki ni kuzifutika kwenye makalio na kuzinywea
Watu wanaokoa Benki zao zitoe huduma safi mijitu mingine ipo kiwiziwizi tu hapa
Hakuna cha kutetea wala nn hayo ni majungu tu, wabongo ni wanafiki sana
 
na Ngosha akitumbua watu wanakuja na makelele eti aache panga panua huku wakopaji wakitozwa riba inayoishia kwenye makampuni ya ubabaishaji.
 
Kitaje hiko chanzo ili iwe "baseline" kwenye mjadala utakaoanzishwa kuhusu hiko chanzo.
 
Nadhani, kama ni kweli, hii issue itakuwa case study nzuri sana. Ila siamini kama kweli hii kitu ilifanya kazi. Viongozi wa NMB wasingekataa technolojia yenye manufaa kwa benki yao

Mkuu kwenye mashirika ya UMMA hilo awajali - wanajali maslahi tu, kwao masuala ya teknolojia ya uhakika hiyo kwao ni secondary.

Binafsi ninacho kiona mimi si ajabu kuna kajikampuni mshenzi kamejitokeza kuwauzia NMB vifaa vya nishati mbadala, kampuni hiyo inaweza kuwa inamilikiwa na ndugu au jamaa wa mmoja wa maafisa wakubwa wa Benki ya NMB, wakala njama za kusitisha huduma za kampuni ya Kijerumani unceremonously, awajali kitakacho tokea, mashirika ya UMMA mengi yako hivyo Wakurugenzi wanajifanya Miungu watu na wala awamwogopi JPJM - wamekwisha jijengea mizizi utawafanya nini?

Binafsi ningeshauri PCCB ifatilie suaka hili haraka sana ili wajue undani wa sakata hili: Ni nani wahusika wakuu na hicho kijikampuni cha Kariakoo kifatiliwe kiseme nani alikipa tenda ya kufunga vifaa vyenyewe walakini, na kwa nini Kampuni ya Kijerunani ilisitisha huduma zake.

Bodi ya NMB nayo inapaswa kuwajibishwa kwa kushindwa kusimamia utendaji wa Viongozi wakuu wa NMB
, kama BODI ingekuwa na meno Viongozi wakuu wa NMB wasingekuwa na ubavu wa kufanya upuuzi huu.
 
Kwa njia yoyote ile tutafika tuu na lazima tunyooke....Ata mungu ilibidi Aue Kizazi cha Israel Jagwani..................................Na hivi ndivyo ilivyo katika hii Tanzania ya leo ambapo ilifika kila mmoja kama ana sehemu yake ya nchi kwa kutaka pesa za uraisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…