mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,900
- 2,100
Hongera kwa kuwa mkakamavu, na kuusema ukweli
Tatizo umejielezea kitoto sana haikuwa na haja ya kujipambanua wewe kama wewe. Ulitakiwa kuusema ukweli kisha unaenda ngaz za juu kuusemea zaidi.
Mwanamageuzi hutakiwi kuwa hivyo wapasw kujilinda na kujali zaidi usalama wako na familia yako kuliko hisia zako.
Ngazi za juu? Hao ndio kaja kuwaanika hapaJF
Halafu umemuhukumu mtoa mada sio mjinga Hivi vielelezo vyote alivyo toa kuhusu familia Na biashara yake unadhani anaweza kujihatarisha?