Jigsaw
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,823
- 680
Tatizo Nchi yetu maskini, Mtu akipewa kazi anataka kula hapo hapo badala ya kufanya kazi aliyopewa..!! Kufungua mabegi ya watu ni tabia mbaya. Naeleza hili ili wajifunze kama hawakupata fundisho..
Mwaka Jana wakati natoka safari nikiwa hapo DIA alitokea dada mmoja wa kizungu na mizigo yake bahati mbaya wakamsimamisha na kumwomba afungue begi ili watazame mizigo aliyobeba. Huyu Dada Mmarekani alikuwa mkali kweli..Akamwambia jamaa kama unataka kufungua begi langu nenda kaoge kwanza ndipo nitakufungulia begi kwasababu hapa ndani kuna joto sana na najua unatoka jasho ambalo ni uchafu na sitaki vitu vyangu vichafuke...!!! Amini wale jamaa ilibidi wamwambie yule dada atoke tu..!!!
Sasa tabia za jinsi hii ni mbaya.. Naamini kabisa hawa watu wanayo haki ya kufanya hivyo pale tu wanapo kuwa na mashaka na mizigo uliyo beba!! Na hili halimaanishi kwamba kila mzigo uliyo bebwa na mtu mweusi una magendo au vitu vyenye kupaswa kulipia ushuru!!
Sipati kuamini na joto la Dar salaam mtu akusimamishe zaidi ya nusu saa kwenye ule mjengo usio na A/C , Na hii tabia ya kushika shika chupi za watu na mikono michafu kwa kweli ni mbaya ,Maana hawa watu wa Air port ni wachafu sana na sijui hata kama wananawaga mikono wakitoka maliwatoni !! Tabia ya kupenda rushwa na kusumbuana kwa vitu vidogo vidogo lazima ikemewe!!!
Mwaka Jana wakati natoka safari nikiwa hapo DIA alitokea dada mmoja wa kizungu na mizigo yake bahati mbaya wakamsimamisha na kumwomba afungue begi ili watazame mizigo aliyobeba. Huyu Dada Mmarekani alikuwa mkali kweli..Akamwambia jamaa kama unataka kufungua begi langu nenda kaoge kwanza ndipo nitakufungulia begi kwasababu hapa ndani kuna joto sana na najua unatoka jasho ambalo ni uchafu na sitaki vitu vyangu vichafuke...!!! Amini wale jamaa ilibidi wamwambie yule dada atoke tu..!!!
Sasa tabia za jinsi hii ni mbaya.. Naamini kabisa hawa watu wanayo haki ya kufanya hivyo pale tu wanapo kuwa na mashaka na mizigo uliyo beba!! Na hili halimaanishi kwamba kila mzigo uliyo bebwa na mtu mweusi una magendo au vitu vyenye kupaswa kulipia ushuru!!
Sipati kuamini na joto la Dar salaam mtu akusimamishe zaidi ya nusu saa kwenye ule mjengo usio na A/C , Na hii tabia ya kushika shika chupi za watu na mikono michafu kwa kweli ni mbaya ,Maana hawa watu wa Air port ni wachafu sana na sijui hata kama wananawaga mikono wakitoka maliwatoni !! Tabia ya kupenda rushwa na kusumbuana kwa vitu vidogo vidogo lazima ikemewe!!!