Lakini hili siyo kila tom dick and harry can harass you. Kama unasafiri sana utawajua nani ni Immigration na nani ni Custom officer. Custom officer akiuliza passport ni verification tu[/COLOR]
Mzee Waga1 inaonekana unasafiri sana. GT asafiri sana kwahiyo hajui kutofautisha,au na wewe ni mojawapo wa walalamikiwa kwahiyo unawatetea wezako,Mimi hata kama sisafiri sana najua tofauti ya Immigration na Custom officer,Kubali upungufu jirekebisheni bana
Mzee Waga1 inaonekana unasafiri sana. GT asafiri sana kwahiyo hajui kutofautisha,au na wewe ni mojawapo wa walalamikiwa kwahiyo unawatetea wezako,Mimi hata kama sisafiri sana najua tofauti ya Immigration na Custom officer,Kubali upungufu jirekebisheni bana