JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
hapa jamani mumeongea !
mwaka jana nilishuka pale dia nikitokea germany na mtoto wangu mwenye umri wa miaka 5 huyu ni mvulana kupitia dubai huko kote tulipewa nafasi za mwanzo kuboard kwa hawa watoto tulipofika pale dar ilikua tofauti wale jamaa hawana hata huruma tulisota pale karibu saa moja na nusu tukingoja hiyo visa mtoto alitoa nguo zote na kubakisha kaptula nguvu zilimwisha alibaki kulala chini akisulubiwa na joto hapana hata maji ya kunywa aliesema tanuri hakukosea jamaa wabadilike !
Unataka nani abadirike, hali ya hewa, serikali in general, or immigration in particular? Ulalamishi mwingine bwana!