Karipuuuuu uonje

lyinga

JF-Expert Member
Nov 18, 2013
2,496
1,035
1407247811831.jpg 1407247811831.jpg
 
Msesewe tayari hapo ipo tayari kwa wakina mmphaamiko si mchezo kitu cha mamba hicho
 
kitu hii inatengenezwa vizuri kule kibosho asee.. ukichukua kitochi kimoja
ukichanganya na banana tatu mambo yanakuwa shwari..
 
Chaa, ruwaoko mangi! Mila, mila, mila...Tumewafikisha penyewe. Hachomoi mhusika hapo! Utawatambua kwa alama zao!
 
Umenikumbusha mbali mno, sasa ghafla nimekumbwa na kiwewe cha kurudi home kusalimia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom