AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,083
Usiogope mamaa, mi nilijua nitachelewa, nilifika saa 8 kasoro, nikaacha bia ila niliongoka na mguu, kipande cha maini na moyo. sasa ngoja nipashe pashe alafu tukakae nikwambie what you missed tukiwa safari
Now you are talking....lol.. And please tell what exactly I missed na pia usisahau kugusia na ile Property ya Kongosho ilifanya kituko gani tena...