Wakati wewe unadanganywa kuacha tamaduni zako ili ufuate zao jiulize hao wanaokwambia Dunia imekua kijiji wameacha nini? Miafrika huwa mnakubali kila kitu tu ilimradi mzungu kasema ilhali wenyewe hawafanyi hivyona hutokaa mkuta mzungu anaitwa mtogole, ngulelo..nk ila utaifa na uzalendo sio kwenye majina bali fikra na matendo.. dunia ya sasa ishakua haina mipaka. nafkiri in the near future tutaacha kuongelea habari za kuacha ukabila bali kuacha u-nchi..
Ni utumwa wa fikra wa kiwango cha juu. Mimi huwa namdharau mtu almost instantly akijitambulisha hasa kwa majina mawili au matatu ya kitumwa, unakuta mtu anaitwa John Peter au abdallah Abdul na kuficha mbali kabisa jina la asili la toka kwao Ileje.Inashangaza sana mkuu, tamthilia zimekuja kuharibu tamaduni za waafrika hasa wabongo, watu wanapendekeza majina ya kwenye movie bila kujua hata yana maana gani.
Nawakubali sana wa south na wanaijeria, mnaijeria ata akizaliwa Los Angeles ataitwa Nneoma, Akpotha,Chibuzo. Wasouth passport zao zimejaa majina kama Andile,Sandile,Nthabisego,Mphisane etc.
Njoo kwetu sasa utaskia mtu anamwita mtoto wake Careen,Glory,Candy,Ariana,Jefferso.. Yaani ni upuuzi mtupu
CleopatraHabari wana Jf
Namshukuru Mungu kwa kunipatia mtoto jinsia ya kike sasa nmekuwa nikipata sana shida kwenye kumchagulia jina mtoto
Kwahiyo naombeni msaada wenu wana Jf majina ambayo nyie mtayaona ni mzuri alafu mimi ntachagua moja
Unawaza nichagulia majina mengi uwezavyo
Jina la mtoto naomba liwe la kikisto.
Kuna wazungu hawajui hata kama Africa wanaishi binadamu, wao wanajua huku wanaishi wanyama tu tena wanyama pori.
Hata wanaoifahamu Africa vizuri wanaona Africa hakuna cha kuiga.
Dunia inazidi kupanuka na hili ndio linaenda kuuwa tamaduni za afrika kwa kiasi kikubwa.
Kuwapachika watoto wetu majina ya kigeni ni ulimbukeni mkubwa
Wakati wewe unadanganywa kuacha tamaduni zako ili ufuate zao jiulize hao wanaokwambia Dunia imekua kijiji wameacha nini? Miafrika huwa mnakubali kila kitu tu ilimradi mzungu kasema ilhali wenyewe hawafanyi hivyo
Emancipate yourself from mental slavery!Wafrika ktk ubora wetu. Dunia ya Mungu, vitu vya mzungu.
Wazungu ni watu muhimu sana, km wasingekuja wazungu wafrika tungekuwa ktk hali mbaya sana kisiasa, kiuchumi, na kiutamaduni.
Huwa namshangaa sana mtu anayemtukana mzungu.
Alexa, Sasha, Charlote,
Ha ha ha ha chausiku, chiku, neema, mwamvua, Remi, tupa kule
NareenNoreen
Muafrika alikua stripped off tamaduni zake kupitia dini ambazo ameendelea kuzikumbatia Hadi leo, mbaya zaidi hajaishia kwenye dini Sasa anajaribu kila sababu ya kujinasabisha na uzungu/uarabu na watu kama wewe mnatetea! Mizungu is proud of u Man.i beg to differ abit! pia naweza sema ni ulimbukeni kuona kuna sababu ya kulipa kisasi eti sababu wao hawajui kua sisi kwetu kuna maghorofa basi nawewe majina yao huyatumii.. kwanza nafkiri inatakiwa uwaone huruma for such ignorance.. mzungu mmoja aliwahi niliuliza nivyokua nchi yao (wenye majungu sina nia ya kusema nilisafiri kwenda nnje ya nchi, bara la ulaya to be precise, but i did) aliuliza eti are there airplanes and flights, how dd u get here..? i was like "i was swimming all the way through river nile to egypt, took a camel and then swim again to your port.. learn some geography and watch less tv!"... sio kwamba hawataki kuiga, some are just ignorant.
ila tambua kua mfumo wa watanzania wengi ni katika imani, sasa kwa wakristo vitu kama majina vingi vimetoka kwenye biblia kama david, samson nk.. kama ilivyo tu kwa waislam ali, juma.. ivyo ugeni ni upi, dini tulizonazo?