Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,400
- 2,729
Ahh Mimi wa Namabengo
Ahh Mimi wa Namabengo
Huku mbona LA mkuuHuu Uzi unaonesha wilaya ya songea watu wengi sana wamepita kule either kwa kusoma au shughuli nyingine, Mimi pamoja na kuzurura kwangu miji ya watu lakini nikirudi nyumban songea nahisi kama Niko Los Angeles hivi, moyo wangu unakua na amani sana.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
yaani full amaniWeee! Acha! Lini tena!?Bafrey kashafariki.
Vp yule mwanae mwenye misifa ya kuendesha na gari rough mji mzima yupo?Bafrey kashafariki.
Usiniambie we wa kunyumba na siku zote usemi!Tupoooooooooh

Wa likuyufusi huyu jamaa au ndongosiYaani kufika jana tu ukayajua yote hayo? Wewe kama unapigia promo kwenu kuwa wazi, me mwenyewe wa kuperamihu hapo.
Ukifika useme sasaWeek 3 zijazo ntakua huko Songea.
Hahaha ule mtaa nyama na pombe za kienyejiKaribu lizaboni NYAMA za mbuzi, nipo hapa nakula mishikaki mida hii.
Nene wa kunyumba mlongoo,Usiniambie we wa kunyumba na siku zote usemi!![]()




Kuna unyama wingi sana pale La charzLa charzwananijua vizuri tulikesha mpaka Saa2 Asubuhi ndio mziki ukazimwa
watu hawataki kuondoka Aisee..
Huku msanii wetu Zed M siku hizi hasikiki, alitoa ngoma na Tundaman kashindwa kumaintainHuyo Pas P aliacha shule kidato cha 3 ili awe msanii mkubwa
Asante2004 kitambo sana,,,,,,karibu mbinga
Wa likuyufusi huyu jamaa au ndongosi

TawileNtakupa in4 mlongooo.![]()
Vp Lamol siku hizi haibambi?Kuna unyama wingi sana pale La charz
Siku hizi kipindi cha mavuno mkuu watu wana hela so kubamba kama kawaidaVp Lamol siku hizi haibambi?
Kimefunguliwa upya, sijafika ila napata habari zake tu. Nimezoea La charlz. Vipi kuhusu Chimbonde Kuna mtu alinambia pia.Achana na La Chalz, kiwanja kinachobamba siku za hivi karibuni ni Chanta BuL hapo bomba mbili, njiani kabisaaa.
Nipo uwanja wa ndege,s/m huruma
UsengwiliTawile