cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Yeaaah!!Hapo sawa
Yeaaah!!Hapo sawa
karibu sana 😊🤗bas vyediii.
Mie huko ni kwetuu, nikiingia tyuuh maghettoni ntakuchekii.karibu sana![]()



basi thawaa,, sisi tupo 😂😂Mie huko ni kwetuu, nikiingia tyuuh maghettoni ntakuchekii.
![]()
Haina mbayaa mlongooo, nitakutembeza hadi kule Ruhuwiko Hunt club, hotel ya nyota 3.basi thawaa,, sisi tupo![]()
wala usiwaze wakunyumba,, uje nikuzungushe machimbo mapya ya misosi😊🤗Haina mbayaa mlongooo,nitakutembeza hadi kule Ruhuwiko Hunt club, hotel ya nyota 3.
Ndiyo wanapaita hivyoaisee tulikua tunapaita cygo![]()
,,,Basi sawaa,wala usiwaze wakunyumba,, uje nikuzungushe machimbo mapya ya misosi![]()




Shikamoo,Pazuri sana. Pamoja na kwamba nimezaliwa Kumbwani, huwa naenda nyumbani Parangu, Peramiho kwa baba na Likuyufusi kwa mama. Na nikabahatika kusoma A-level Songea Boys 2002 to 2004.
Kunyumba kwabwina mno!
Mkuu acha uchoyo japo ka picha ka kimpumu....Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.
Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.
Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe
Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)
Karibuni Songea
Marhaba. Where were you?Shikamoo,
2004
Mkuu mkako mbali ndio nini? Nifungili3 hii codeNa mkako mbali![]()

2004 kitambo sana,,,,,,karibu mbingaPazuri sana. Pamoja na kwamba nimezaliwa Kumbwani, huwa naenda nyumbani Parangu, Peramiho kwa baba na Likuyufusi kwa mama. Na nikabahatika kusoma A-level Songea Boys 2002 to 2004.
Kunyumba kwabwina mno!
Bofya hii alama @siwezi/sjui jinsi ya kutag ningetag wangoni kibao hapa
Wa Namabengo ,Mbimbi,litola,Hanga mmawa, na mtumbo yote numbulile mayitooo


We Mzee Ngonyani tutakuwa tunajuana pengine. Nimeishi Hanga monastery 
Fata ushauri huuBofya hii alama @View attachment 2655051View attachment 2655052
Watag wa kunyumbasiwezi/sjui jinsi ya kutag ningetag wangoni kibao hapa
