Karibuni Songea

Karibuni Songea

Aisee. Ila kitambo sana toka nije huko around 2008, ngoja nikipata nafasi nije kushangaa palivyobadilika
Yeah pamebadilika sana coz vijumba visivyoeleweka vifupi vilivyo katikati ya mji wameambiwa wamiliki waziboreshe na kama hawana uwezo wauze
 
Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.

Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.

Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe

Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)


Karibuni Songea
Songea kwenda usiku, kuondoka usiku taabu yote ya nini?
 
Dah! Nyumbani ni nyumbani tu. Nimeyamisi maeneo ya litola, Namtumbo, Mgomasi, Nambecha kwa wakulima wa tumbaku dah! Mateka kwa mama sabena, Matogoro... Acha kabisa
 
Back
Top Bottom