Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,619
Kafa tokea mwaka jana,Weee! Acha! Lini tena!?
Kafa tokea mwaka jana,Weee! Acha! Lini tena!?
Yupo anabadiri magari tu kwasasa,na anatumia pesa tu lile ghorofa baba yake aliongeza na kuliboresha now yamejaa maduka ya wa kinga tu.Vp yule mwanae mwenye misifa ya kuendesha na gari rough mji mzima yupo?
Nikipata nafasi nitakuja kukutembelea mkuuNipo uwanja wa ndege,s/m huruma
Aisee! Ni maladhi au ndo umri tenaKafa tokea mwaka jana,
Ila weweeUsengwili
aisee sikujua kama wa kunyumbaAnakula maisha tuYupo anabadiri magari tu kwasasa,na anatumia pesa tu lile ghorofa baba yake aliongeza na kuliboresha now yamejaa maduka ya wa kinga tu.
Aliumwa sana,hadi alienda kwao akarudi na aligia huku kazikwa makaburi ya misheni,Aisee! Ni maladhi au ndo umri tena
Kwakweli na kubadili pisi kaliAnakula maisha tu
, mtoto mwenyewe ni yeye tu
Karibu sana uwanja wa ndege.Nikipata nafasi nitakuja kukutembelea mkuu
Aisee. Ila kitambo sana toka nije huko around 2008, ngoja nikipata nafasi nije kushangaa palivyobadilikaAliumwa sana,hadi alienda kwao akarudi na aligia huku kazikwa makaburi ya misheni,
Yeah pamebadilika sana coz vijumba visivyoeleweka vifupi vilivyo katikati ya mji wameambiwa wamiliki waziboreshe na kama hawana uwezo wauzeAisee. Ila kitambo sana toka nije huko around 2008, ngoja nikipata nafasi nije kushangaa palivyobadilika

Sijui sasaWatag wa kunyumba![]()
Songea kwenda usiku, kuondoka usiku taabu yote ya nini?Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.
Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.
Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe
Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)
Karibuni Songea
SafiYeah pamebadilika sana coz vijumba visivyoeleweka vifupi vilivyo katikati ya mji wameambiwa wamiliki waziboreshe na kama hawana uwezo wauze![]()
Nipo Zahanati kama unaelekea chandarua. KaribuUsengwili
Nkifika ntakustuaaa.Nipo Zahanati kama unaelekea chandarua. Karibu
PoaNkifika ntakustuaaa.
Ouk