Hu Jintao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,916
- 3,654
Wote nawafahamKweli unamfahamu jina lake n Erick hyera vp unawafahamu akina Baptist kapinga na isdori sanga pamoja na tuzo hyera?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote nawafahamKweli unamfahamu jina lake n Erick hyera vp unawafahamu akina Baptist kapinga na isdori sanga pamoja na tuzo hyera?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nilifananisha majinaTinkla anafundisha mkwaya primary
Safii Sana ukikutana na Paschal hyera.(kicheko) ntaomba unicheki pmWote nawafaham
😂😂 Usjali mwezi ujao nitakuwa huko....Safii Sana ukikutana na Paschal hyera.(kicheko) ntaomba unicheki pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Bafrey kashafariki.Umesahau kwa tajiri Bafreyi
karibu tena niko Kigonsera hapa 🤣Nimeimiss songea,nilikaa peramiho mwaka 2001,nakumbuka baadhi ya maeneo ya songea kama vile ruhuwiko,lipokela ,chaburma,kigonsera ,mpitimbi, mlalo,nk. Na kila jumamosi nilifanikiwa kusali ktk kanisa kubwa la sabato hapo mjini
Andoya kashakufaga,kusile kashakufaga kitambo,,komba yupogo.No matter where you go, remember the road that will lead you home. Mbinga my hometown nina kumbukumbu nyingi sana ndio sehemu niliyofall in love for the first time kubwa upatikanaji wa chakula cha kutosha nimemiss pitiku kipindi cha mvua mboga ya chainizi inayokaangwa na mafuta ya nguruwe na ugali mkubwa.
Disko Mbicu hotel nikiwa nimetupia form six kubwa na suruali ya kubana chini nikiwa nimevalia raba kali mkononi nina pakti ya reds nainyonya na hiyo ni baada ya kula pilau la kutosha home.
Route za studio PS records na mwanangu wa faida kwenda kurekodi.
Wapi Komba Dae, Kusile, Andoya, Mdaka Five ila kwa sasa nasikia kuna matajiri wengine it's been a while
Ruhuwiko, Matalawe, FurahaStore, Mbuyula, Kiwandani, Jimboni, Misheni, Mbinga Day, Mbambi, Makita.
Yote kwa Yote lile Baridi na Udongo mwekundu litanifanya niendelee kuwa Diaspora.
ana mashamba yake pale Kiamili hekari nyingi sana
ukiishi hapo kitai utajua haujui hakuna pa kwenda wala kutembelea panakera aiseeMkeke ,mkesu, paradise, lituhi wapi kitai
Wenyewe mnapaita kaigokaribu tena niko Kigonsera hapa![]()

hii ni sahihi 100%Nina rafiki yangu mmoja wa kike nili kutana nae Twitter anaitwa Dorothy ana ishi SONGEA sehemu inaitwa MPITIMBI.
Aliwahi kuniambia SONGEA ni wakulima hodari wana lima sana mahindi kama una mtaji una weza kuwekeza kwenye kilimo SONGEA, hatimaye kupata matokeo chanya.
Na mkako mbali😂hii ni sahihi 100%
hahaha sio mbaliNa mkako mbali😂
Ok sawa brotherhahaha sio mbali
Hata Tangaa hawafikii.Vp mademu wanajua sana ule mchezo wa kitandani au kama ndugu zangu wapare tu




Mtini pubHio sehemu maarufu kwa misosi hasa Kuku pana mipaka mikubwa Ila wangoni ni nyoko, nimesahau jina ndio sehemu maarufu hapo songea, Delux ni nyoko



Kwani Chanta buli imefunguliwa??Achana na La Chalz, kiwanja kinachobamba siku za hivi karibuni ni Chanta BuL hapo bomba mbili, njiani kabisaaa.