Karibuni Songea

Karibuni Songea


Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.

Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.

Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe

Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)


Karibuni Songea
Kama mbawala hakuwa na akina mapunda basi utakuwa ulilishwa nyama yake
 
Tutakuja Songea, msihofu. Maduka mshafungua au bado
Screenshot_2024-06-30-18-39-38-667_com.instagram.lite.png
 
Hio sehemu maarufu kwa misosi hasa Kuku pana mipaka mikubwa Ila wangoni ni nyoko, nimesahau jina ndio sehemu maarufu hapo songea, Delux ni nyoko
Kama unakamata mbuzi katoliki **** Chimbo hapo lizaboni kwa makukura ni hatari tupu,halafu piga mitaa ya kosovo mtini pub,newstar,la haz mambo ni bam bam.
 
Kama unakamata mbuzi katoliki **** Chimbo hapo lizaboni kwa makukura ni hatari tupu,halafu piga mitaa ya kosovo mtini pub,newstar,la haz mambo ni bam bam.
Nakubali mkuu, kumbe mitaa unaimanya vizuri
 
Ambae yupo jirani atupe post za hapo i mean picha za mandhari ya hapo
 

Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.

Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.

Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe

Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)


Karibuni Songea
Ni Nyoni au Nyani?
 
Nilifika huko mwaka Jana kwa mara ya Kwanza.Vile nilivokua nawaza na nilivopaona ni tofauti.Nilibahatika kufika maeneo ya Ruhuwiko,Liganga na Peramiho.Nilichoshangaa ni pale mjini machungwa matatu 1000.
 
Back
Top Bottom