Karibuni Songea

Karibuni Songea

Nakumbuka miaka ya 2000 kulikua na mbabe mmoja ili alikua anasumbua Songea alikua anaitwa SAIBOG jamaa fulani ili mwili tafu alishawahi piga maaskari sita kwa wakati mmoja. Lakin pia kulikua mbabe na jambazi moja ili laitwaga SUGU alisumbua saana Songea
 
Pazuri sana. Pamoja na kwamba nimezaliwa Kumbwani, huwa naenda nyumbani Parangu, Peramiho kwa baba na Likuyufusi kwa mama. Na nikabahatika kusoma A-level Songea Boys 2002 to 2004.

Kunyumba kwabwina mno!
Juzi Kati nimepita pale makaburi ya lizaboni,nikaona kabuli lenye jina lako !! Nikashtuka kidogo kucheki mwaka kwenye msalaba ni miaka mingi iliyopita!!
 
Huu Uzi unaonesha wilaya ya songea watu wengi sana wamepita kule either kwa kusoma au shughuli nyingine, Mimi pamoja na kuzurura kwangu miji ya watu lakini nikirudi nyumban songea nahisi kama Niko Los Angeles hivi, moyo wangu unakua na amani sana.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mimi nimekaa mikoa 10+ ila ukiniambia sehemu gani bora niliishi basi nitasema songea japo sio kwetu.
 
Back
Top Bottom