Karibuni Songea

Karibuni Songea

Mie napenda sherehe za kingoni, zikipigwa zile nyimbo zetu, bas nafunga khanga kiunoni, nikianza kusasambua hapo hadi hoi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]
 
Nakerekwa coz kwenye masherehe zinapigwa hizo nyimbo,wanacheza wenyewe
Wameharibu kuzirekodi zilikuwa zinanoga zipigwe laivu band weee🙌🏽

Ukisikia ngoma zinavyopigwa na zile vibes za walevi wa wanzuki ni 🔥
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulanzi mie nagema mwenyewee, mbeta natengeneza mwenyewee. Nikaa chini kunywa aaah mdogo mdogo, robo zinakata tyuuh hadi dumla 2 fyaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee we' mngoni kweli... unajua mpaka dumla?[emoji23][emoji23][emoji23] kweli gwenye hugu ni gucocastic...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulanzi mie nagema mwenyewee, mbeta natengeneza mwenyewee. Nikaa chini kunywa aaah mdogo mdogo, robo zinakata tyuuh hadi dumla 2 fyaaa.
Ukija sasa inabidi nihakikishe usemayo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee we' mngoni kweli... unajua mpaka dumla?[emoji23][emoji23][emoji23] kweli gwenye hugu ni gucocastic...
Ndiyo mie hapa ni gu cocastic, gwenye gu ulanzi gukiwa kwenye gu mdumla topu mie nagumaliza gwote fyaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoni Og hapa,
 
Ndiyo mie hapa ni gu cocastic, gwenye gu ulanzi gukiwa kwenye gu mdumla topu mie nagumaliza gwote fyaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoni Og hapa,
[emoji23][emoji23][emoji23] ila coca kumbe wangoni nao wajanja eeh? Mimi nikajua na ujanja wote huo utajuwa Mzaramo wewe
 
Back
Top Bottom