Dah huu uzii nimzuri sana naomba uwe endelevu namungu ukupe moyo kama huo, mimi tatizo langu ninahofu namara nyingi hofu yangu naisikia tumboni, natatizo jingine niliwahi kutokewa nasundosundo yaani kama vinyama flani hivi vinaota mfano wataulo ila vilikuwa vidogovidogo sehemu zangu zasiri yaani yale maeneo yanayoota mavuzi nikawa navikata mwisho wasiku nikawa nimeviacha2 ila vikaanza kupotea taratibu mwisho wasiku vikaisha nawala sikwenda hsptl hali hii imenitokea kama miaka 2 imepita je nauliza tatizo lilikuwa nini naje kupotea kwahivyo vinyama ndio yawezekana nikawa nimepona hilo tatizo? Nanilidumu navyo zaidi yamwaka