Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

Hbar kiongz? Mungu akubarki sana! Kwanz kwa karne Kama hii kupata mtu kama ww ni ngumu!! Ww ni MAKONDA B ... Mm naitwa Raymond ninaishi Gmboto, ilala ,dar..
Nilikuwa na mambo kama mawili hivi au matatu unisaidie;
1. BIMA YA AFYA.
Nimejarb kufatilia google na kwa baadhi ya watu lkn bado wanashndwa kunipa majibu sahihi ya maswali yangu, kiufp nilitaka kujua faida za bima ya afya, (ii) Hipi nzuri hisiyozidi 150,000 kwa mwaka?
2. Nilitaka kujua kuhusiana na ULTRA SOUND na inafanyje kazi?
3. Nasumbuliwa na allegy zifuatazo
Food colour
Dust
Plastic material
Pollens za maua
Nyasi
Heat (Joto Kali)
Vitu vya baridi
Samaki
Mayai
Alluminium
Vitu vya shaba...
MATOKEO
1. Nawashwa sana nikimaliza Kuoga.
2.Maumivu ya kifua yaani vichomi
3. Moyo kuuma sana kama unavilia hasa wakati wa usiku..
4.Muwasho mtamu wakat wa usiku.. Je, nimatokeo ya hizo allegy?
3. Nilipima kama ninatatizo kwny Moyo kwa kipimo cha kutoa damu kwny mshipa.. Je, kuna kipimo kama hicho au nilitapeliwa?
Whatsup 0657 230355.. Mungu akubariki
 
Naulizia kama kuna tiba au huduma yake ikoje, kuna mtoto ana ile wanaita Kimeo, hospitali wameangalia ameonekana nacho na nimewazuia wazazi kwenda mtaani kukikata, sasa naomba mnisaidie maana wa hospitali wamempa dawa ya kukohoa tu na anakohoa mwanzo mwisho.
 
Ndugu matatizo ya ukungu ni matizo ya pili baada ya tatizo halisi siku zote unapokua na fungus tambua huyo ni abiriatu Dereva wake yupo nakushauri nenda hospitali kamweleze doctor ninafangasi ya muda mrefu nimetumia dawa na ikiwezekana muorozeshee na dawa ambayo ushazitumia. Kwani sababu za fungus (ukungu) ziko nyingi na dawa pia za fungus ziko nyingi usipende kua Daktari wewe na mgonjwa wewe dawa za kununua bila maelekezo ya Daktari sio vyema sana wakati mwingine
Okay
 
Kama kichwa kinavyosema hapo nakaribisha maswali yanayo husu afya
Mkuu kuna MTU ,alikuwa mzima gafla amekuwa asikii vizuri na kuona pia vile vile amepata matatizo ya miguu akitembea ana tupa akanyagi vizuri na pia awezi kukimbia.nini tatizo na tiba yake?
 
Tatiza la Athma na allergy ya kuwashwa pua na macho je kuna dawa yyte ya antiallergenic
 
Naulizia kama kuna tiba au huduma yake ikoje, kuna mtoto ana ile wanaita Kimeo, hospitali wameangalia ameonekana nacho na nimewazuia wazazi kwenda mtaani kukikata, sasa naomba mnisaidie maana wa hospitali wamempa dawa ya kukohoa tu na anakohoa mwanzo mwisho.
 
1. Hayatoi majimaji hata kidogo.
2. Yanawasha tu, nikiyakuna hutokea kama kuvimba kiasi.
3. Hayana msimu maarumu, yaweza kutokea wakati Wa baridi na hata wakati Wa joto.
Ndugu pendelea kua unapima vimelea vya matumboni.kwani Maelezo yako nimeshuku kua utakua na minyoo, na unaminyoo ambayo huwa inavamia na kutoweka bila hata kutumia dawa halisi,na hiyo ni kutokana na kua na mfumo mzuri wa kinga.Hivyo pendelea kua unapima kila baada ya mwezi mmoja. Ikatokea umewakuta utaandikiwa dawa ya aina ya minyoo walioonekana endelea hivyo hadi mwili wako utapokua umetengeneza kinga ya kudumu dhidi ya aina hiyo ya parasite
 
Ganzi ni ishara kua Neva zako haziko sawa Pima Blood suger Pima Pressure Mara tatu yaani masiku tofauti tofauti Pima na VDRL kitachoonekana rudi humu Jf tutakupa ushauri
Nilipima sukari nikawambiwa sina presha nayo sina Labda hiyo VDRL MAANAA SIJUI NI NINI
 
Ndugu pendelea kua unapima vimelea vya matumboni.kwani Maelezo yako nimeshuku kua utakua na minyoo, na unaminyoo ambayo huwa inavamia na kutoweka bila hata kutumia dawa halisi,na hiyo ni kutokana na kua na mfumo mzuri wa kinga.Hivyo pendelea kua unapima kila baada ya mwezi mmoja. Ikatokea umewakuta utaandikiwa dawa ya aina ya minyoo walioonekana endelea hivyo hadi mwili wako utapokua umetengeneza kinga ya kudumu dhidi ya aina hiyo ya parasite
Thanks sana Doctor, Mungu akutangulie katika kazi zako. Nitafanyia kazi ushauri wako.
 
Naomba niambie nikapme nn maana hospital nlienda nikawaambia hali Bdo inaendelea wakanipa mult vitamin nitumie wk 2 hali Bdo ikaendelea nikaenda tena wakanipa cetrizen lakn Bdo hospital nao wameshndwa kuelewa labda ww naomba nisaidie vipmo vya kwenda kupma ili nikfka tu hospital niwambie nipme hik na hik itakuwa rahc kdogo
Ndugu Pima vipimo hivi hapa naamini tutapata ufumbuzi juu ya tatizo lako Pima F.T.A-ABS na pia Pima L.P pia Pima uric Acid kwenye mkojo na Uric Acid kwenye damu baada ya hapo rudi humu tusaidiane matibabu
 
Miaka 29 na tatzo limenianza huu ni mwez 8 sasa nimefanya vipimo sikuonekana na tatzo lolote lkn mwili hutokezea hali hiyo nilioleza post ya mwanzo.
Ndugu hata wewe ninakushauri nenda kapime urea (Uric Acid for urine Na Uric Acid for blood) than rudi hapa tusaidiane matibabu .kwa umri wako na Maelezo yako nimeshuku kiwango cha PH hakipo sawa
 
Mkuu kwa niaba ya wote Natoa shukrani za dhati,,Unajibu vizuri sana

Mimi nina matatizo mawili ambayo yananisumbua kwa muda usiopungua miez 6 ss

La 1: Nasumbuliwa sana na Wheezing,,ile hali ya koon kutoa saut pale napotoa au kuvuta hewa kwa wing mfano wkt wa kupiga mihayo na pia ni hali ambayo imenisababishia kuwa nabanja kwa sauti na kuna wkt mwngne yanatoka makohoz kdg lkn hali haiishi

Nishaenda hospital mara 3 nikapewa Amoxilin mara 2 na antibiotic nyngne ina rang ya kijani na nyeupe mara 1 lakini mara zote hzo hali hii ilikua ikiisha kwa muda wa km wk 2 kisha inarudi tena hadi nikaamua kuipotezea lkn kiukwel inanifanya nisiwe confotable kbs

Tatzo la 2: Km miez 3 iliyopita niliamka asbuh jicho 1 likaw km limevimba kwa mbaali,,hapa nlipo inaenda mwz wa 3 hii hali haijaondoka, hii sjawah ipeleka hosp
Kwanza naona nianzie na hiyo ya jicho kuvimba ndugu yangu ogani hizo sio za kufanya mzaha kwani ni ogani ambayo ndizo zinakufanya iwe Positivity kwa jamii hivyo Fanya hima nenda hospitali kwa wataalam wa macho kaeleze ili lifanyiwe uchunguzi Jambo jingine lile la kwanza nimeshindwa kukuelewa kidogo unamaanisha unapokua katika kitendo kile sauti inatoka kubwa? Au hupati sauti! Lakini lakubanja Pima minyoo kwanza kwa sababu kubanja kuna wakati husababishwa na minyoo
 
Ndugu Pima vipimo hivi hapa naamini tutapata ufumbuzi juu ya tatizo lako Pima F.T.A-ABS na pia Pima L.P pia Pima uric Acid kwenye mkojo na Uric Acid kwenye damu baada ya hapo rudi humu tusaidiane matibabu
Asante ubarkiwe sana ngoja niende nikapme den ntaleta mrejesho
 
Nina tatizo la macho kushindwa kuona vema au kutazama kwa muda mrefu eneo lenye mwanga hasa wa jua. Na hufikia wakati mwingine naona watu viwiliwili ( kiwiliwili) badala ya sura zao kutokana na macho kuchoshwa na mwanga wa jua la mchana.

Mwanga mwingine sina tatizo nao naweza hata kuendesha chombo cha moto usiku bila tatizo.

Shida yangu ipo wapi maana nateseka sana nakunja sura kupita kiasi, kuna tiba ipi inisaidie? Umri 29
Mkuu pole sana tatizo lako liko nyuma ya mboni ya jicho ( kioo cheusi) ambayo Yale maji huenda yakawa yamevamiwa na bacteria na kuvurugwa mzuruko wake naomba nikupatie Huduma hii kwanza Nunua Caps Ampiclox utumie 1x3x5/7days Vitamin A 1x2x5/7 tumia hizo mkuu ukimaliza kama hali bado kabla ya kurudi humu kapime kwanza blood suger pamoja na BP kisha Result njoo nazo hapa
 
Hbar kiongz? Mungu akubarki sana! Kwanz kwa karne Kama hii kupata mtu kama ww ni ngumu!! Ww ni MAKONDA B ... Mm naitwa Raymond ninaishi Gmboto, ilala ,dar..
Nilikuwa na mambo kama mawili hivi au matatu unisaidie;
1. BIMA YA AFYA.
Nimejarb kufatilia google na kwa baadhi ya watu lkn bado wanashndwa kunipa majibu sahihi ya maswali yangu, kiufp nilitaka kujua faida za bima ya afya, (ii) Hipi nzuri hisiyozidi 150,000 kwa mwaka?
2. Nilitaka kujua kuhusiana na ULTRA SOUND na inafanyje kazi?
3. Nasumbuliwa na allegy zifuatazo
Food colour
Dust
Plastic material
Pollens za maua
Nyasi
Heat (Joto Kali)
Vitu vya baridi
Samaki
Mayai
Alluminium
Vitu vya shaba...
MATOKEO
1. Nawashwa sana nikimaliza Kuoga.
2.Maumivu ya kifua yaani vichomi
3. Moyo kuuma sana kama unavilia hasa wakati wa usiku..
4.Muwasho mtamu wakat wa usiku.. Je, nimatokeo ya hizo allegy?
3. Nilipima kama ninatatizo kwny Moyo kwa kipimo cha kutoa damu kwny mshipa.. Je, kuna kipimo kama hicho au nilitapeliwa?
Whatsup 0657 230355.. Mungu akubariki
Njema kabisa Kwakua Leo nimechelewa kujibu maswali yenu kutokana na majukumu ya kikazi nitakujibu baadhi hilo la alleji nitakujibu kesho kwanza hakuna vipimo cha moyo kwa kutumia Damu ingwa sayansi katika karne hii imepanuka. Unaweza kupima damu kuchunguza mafuta ili kujua shida iipatayo moyo katika misukumo ya Damu. Vipimo vya moyo vipo na ni zaidi ya kimoja. Na hili la Bima ya Afya ningependa kujua uko mkoa gani ili nikupatie maelekezo
 
Naulizia kama kuna tiba au huduma yake ikoje, kuna mtoto ana ile wanaita Kimeo, hospitali wameangalia ameonekana nacho na nimewazuia wazazi kwenda mtaani kukikata, sasa naomba mnisaidie maana wa hospitali wamempa dawa ya kukohoa tu na anakohoa mwanzo mwisho.
Kwanza ninakushukuru kwa kutuokolea taifa la kesho maana kuna watu mitaani wanafanya hivyo pasipokua na taaluma yoyote ile matokeo ni kusababisha matatizo Waruhusu hao wazazi waende hospitali MTOTO atapewa Huduma vizuri na atabaki akiwa salama
 
Mkuu kuna MTU ,alikuwa mzima gafla amekuwa asikii vizuri na kuona pia vile vile amepata matatizo ya miguu akitembea ana tupa akanyagi vizuri na pia awezi kukimbia.nini tatizo na tiba yake?
Mkuu tatizo lake liko kwenye ubongo wa kati ningepata na umri wake nadhani ningetoa ufafanuzi mzuri zaidi hapa.
 
Mkuu pole sana tatizo lako liko nyuma ya mboni ya jicho ( kioo cheusi) ambayo Yale maji huenda yakawa yamevamiwa na bacteria na kuvurugwa mzuruko wake naomba nikupatie Huduma hii kwanza Nunua Caps Ampiclox utumie 1x3x5/7days Vitamin A 1x2x5/7 tumia hizo mkuu ukimaliza kama hali bado kabla ya kurudi humu kapime kwanza blood suger pamoja na BP kisha Result njoo nazo hapa
Asante sana
 
Tatiza la Athma na allergy ya kuwashwa pua na macho je kuna dawa yyte ya antiallergenic
Mpaka sasa hakuna Tiba ya moja kwa moja ya Athuma Bali hua tunatoa dawa kutegemea na shambulio lilivyo au kama tatizo hilo pia linakua limeingiliana na dalili zingine. pia hua tunazitibu dalili hizo
 
Back
Top Bottom