Janken jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,125
- 1,183
!!!!Unadhani ni kwani ni!
!!!!Unadhani ni kwani ni!
!!!!
Miaka 25, nimeoa ila mke wangu hatumii mafuta yeyote isipokuwa baby careUna umri gani? Umeoa? Na kama umeoa mkeo anapendelea kutumia mafuta yenye harufu gani?
Mi huwa naumwa mafua mwaka mzima cjawahi kupona huwa yanapungua tu na yakikaza zaid nalazwa
Tatizo lako ndugu litakua ni tatizo la kisaikolojia ila tu kwa ushauri Kama hali hiyo ikitokea hua ni kero kwako tumia vitu ambayo vitapingana na manukato unayo hisi mfano unaweza tumia kachumbari yenye vitunguu vingi ili harufu ile ya kitunguu ninaimani itaingilia manukato unayohisi bila kama siokero basi iache kwani sidhani kama utakua na madhara yoyote kwakoMiaka 25, nimeoa ila mke wangu hatumii mafuta yeyote isipokuwa baby care
Ndugu tatizo la kufa ganzi. Tambua kwanza hili kua sio tatizo Bali huo ni mwili wako unaku alert kua Neva za mwili wako haziko sawa na Neva Mara nyingi haziwi dhaifu bila sababu huwenda mwili ikawa umevamiwa na wageni hatarishi kwa mwili nikushauritu. kama hali hiyo inakuhusu wewe basi nenda Hosp ukapime vipimo vya Typh.na vipimo vya magonjwa ya ngono.Pia upime na kisukari.Pressure.na uzito kwani huenda ukawa na uzito mkubwa pia.kama umepima na hukukuta shida yoyote katika hayo sasa jichunguze kama unatumia dawa za kifua kikuu au za kupambana na Virusi vya UKIMWI kwani dawa hizo Nazo hua kuna wakati zinafikia kudhoofisha nevaMiguu kufa ganzi na kuwaka moto nn tatizo na pressure ipo nomal kabisa na saa nyingine vidole vya miguu vinakuwa Vina pwita kama kuna mduu ndani yake au usahaa
Mkuu tatizo hili ni pana sana kabla sijaendelea naomba unijulishe mdada unaemlenga hapa ni mnene sana wastani au mwembamba pia harufu hiyo inatoka sehemu gani ya mwili wakeMkuu mwili wa mdada kutoa harufu/jasho lenye harufu kali shida nini?
mkuu nmepiga mechi tar 25 ambapo demu ilkuwa cku ya nne ya breed mpka tar 27 dec pia nkapiga mechi tar 11 jan demu ananiambia ana mimba huu si wizi live?????mzunguko wake cku 28 hebu nipe ukweli hapo
style..gani,ya..kulala,wakati..wa..usiku..ni..nzuri,i..mean..ambayo..haikufanyi..uamke..umechoka,na..kuota.ndoto..mbayaa?
Je mapele hayo yanatoa maji maji pindi yanapotoka?Je yanauma au yanawasha? Na je yanatoka wakati gani? Wakati wa joto ama baridi! Naomba nijibu hayo kisha nitaendelea naweweKuna hali ya upele hutokea shingoni. Ninapotumia dawa hupona lakini baada ya miezi kama 3 au 4 vinarudi.
Hali hii imeanza tangu 2006 hadi sasa.
1.Nini tatizo?
2. Dawa yake nini?
Nimeshatumia dawa nyingi mno tangu miaka hiyo ila ni mwendo Wa kupona na kurudi baada ya miezi kadhaa
Naomba kujua umri wako ndugu na pia nijulishe tatizo hilo limekuanza lini ili nijue pakuanziaMimi tatzo langu ni kuwa muda mwengine hutokezea mwili kuwasha sana na kuhisi kutembewa na vitu mwilini na kuchomachoma baadhi ya maeneo ya mwili na macho kuwasha na hali hii imenianza zaman na nishafanya check up mara mbili hospital na hakukuonekana na tatzo lolote baada ya kucheki na hali hii inanigharimu sana mana sina amani. Kwahiyo ikiwa kuna dawa yoyote inayoweza kuondoa tatzo hilo naomba ili niende nikatafute nitumie. Muwe na siku njema.
kama,kuna..ukweli,hapo..mwisho..kuhusu,kujaza..tumbo.hapa..saiv..nakula..ugali..mkuu..tena,mwing..sio,salama..eh?Kwanza kabisa kabla ya kulala hakikisha umetembea tembea kama mita mia hivi ili chakula ulichokula usiku kishuke na kile cha mchana kijiandae kutoka kama taka baada ya kutembea ujitahidi uwende choo kubwa baada ya hapo nenda kalale. Style ya kulala hauchaguliwi kwani ukiwa usingizini ubongo ndio huamua ulaleje wewe. Ila mwanzoni kabla huja pata usingizi unatakiwa ulale position ambayo isioweza kuuchosha moyo. Ambayo ni hii weka mkono wako juu ya mto kisha weka kichwa chako juu ya mkono halafu mguu ulioko juu uvute mbele na wachini uvute nyuma, hapo utaona hata wewe mwenyewe utakua kama ukohuru hivi baada ya hapo hautochukua mda mrefu kupata usingizi na ukipata usingizi mipango ya mlalo sio yakotena. Na nikwambietu kwamba kuota vibaya nimatokeo ya kula sana usiku na unakwenda kulala hali ya kua tumbo bado limejaa!
Nina ganzi Sasa ni miezi 9 na nimeonde hospital wamenimbia damu chafu ila paka Sasa siioni mabadilikoKama kichwa kinavyosema hapo nakaribisha maswali yanayo husu afya
1. Hayatoi majimaji hata kidogo.Je mapele hayo yanatoa maji maji pindi yanapotoka?Je yanauma au yanawasha? Na je yanatoka wakati gani? Wakati wa joto ama baridi! Naomba nijibu hayo kisha nitaendelea nawewe