Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

Kwanini fungus wanaonekana kuwa chronic sana hata kama uwe msafi sana na kufua nguo za ndani pia pindi utakapo kuoga unajikausha vzr na tawel (testicle fungus) na dawa nzuri hasa ni ipi??
 
Mm tatzo lang miguu inawaka moto mishipa inaniuma sana hasa ya mkono pia kuna wakat viganja vya mkono vinachezacheza yan vinatingshika, mwili unawasha sana nikijkuna natokewa na vipele, naskia vitu vinanitembelea mwilini kama utitiri, naishiwa nguvu miguun na mikonon hasa wakat wa usiku, nmepma sukar sina, HIV sina, presha cna msaada nmefanya had full blood Pc nmeambiwa cna tatzo msaada
Kwanza pole sana kwa mateso hayo na nikwambietu anaetakiwa aamue wewe upime nini ni Daktari wako mi nisemetu kwamba tatizo lako ni viwango vya Ph vimezidi so kupelekea kuunguzwa acid ndani ya celi. hapo ulipo mwili wako iko busy mda wote kuunguza asidi hiyo ndani katikati ya celi. Na hali ulionayo ni madhara ya kijenitic ambayo ni matokeo ya uunguzwaji wa acid. ninacho kushauri ni kwamba rudi hospitali kamweleze Doctor wako hali bado ina kusumbua ataangalia vipimo alivyokuandikia kisha yeye mwenyewe atabidi akuandikie vipimo sahihi ambayo hujachungujwa kwani humu hatufundishani madaktari au kukosoana kwani hii ni taaluma ambayo iko poketed sana
 
Hapa nilipo shingo inaniuma hatari kama inamadonda kwandani..hali hii NI ya muda mrefu sana.

Nimedhaenda sana hospital lakini bado tatzo halijsisha.

NOTE:Nina tatizo la macho kwa miaka kadhaa,yaan kichwa huwa kinauma Mara kwa Mara.
Pole sana banna Bobay mungu itaponesatuu.pana kua nasaka weye. Ni kwamba naomba uniwekee hapa vipimo ulivyopima huenda nikagundua kitu katika vipimo ulivyo pima.Kwani Mara nyingi matibabu huamuriwa na majibu sahihi ya vipimo
 
Kwanza pole sana kwa mateso hayo na nikwambietu anaetakiwa aamue wewe upime nini ni Daktari wako mi nisemetu kwamba tatizo lako ni viwango vya Ph vimezidi so kupelekea kuunguzwa acid ndani ya celi. hapo ulipo mwili wako iko busy mda wote kuunguza asidi hiyo ndani katikati ya celi. Na hali ulionayo ni madhara ya kijenitic ambayo ni matokeo ya uunguzwaji wa acid. ninacho kushauri ni kwamba rudi hospitali kamweleze Doctor wako hali bado ina kusumbua ataangalia vipimo alivyokuandikia kisha yeye mwenyewe atabidi akuandikie vipimo sahihi ambayo hujachungujwa kwani humu hatufundishani madaktari au kukosoana kwani hii ni taaluma ambayo iko poketed sana
Naomba niambie nikapme nn maana hospital nlienda nikawaambia hali Bdo inaendelea wakanipa mult vitamin nitumie wk 2 hali Bdo ikaendelea nikaenda tena wakanipa cetrizen lakn Bdo hospital nao wameshndwa kuelewa labda ww naomba nisaidie vipmo vya kwenda kupma ili nikfka tu hospital niwambie nipme hik na hik itakuwa rahc kdogo
 
Hapa nilipo shingo inaniuma hatari kama inamadonda kwandani..hali hii NI ya muda mrefu sana.

Nimedhaenda sana hospital lakini bado tatzo halijsisha.

NOTE:Nina tatizo la macho kwa miaka kadhaa,yaan kichwa huwa kinauma Mara kwa Mara.
Kuhusu kichwa kuuma hilo ni tatizo la macho nenda kapime mawani upate saizi ya uwezo wa macho yako
 
kama,kuna..ukweli,hapo..mwisho..kuhusu,kujaza..tumbo.hapa..saiv..nakula..ugali..mkuu..tena,mwing..sio,salama..eh?
Kwa kawaida chakula cha usiku unatakiwa ule chakula ambacho hakitolisumbua tumbo lako kisiwe kigumu na kama kikiwa kigumu Chelewa kidogo kulala
 
Kwanini fungus wanaonekana kuwa chronic sana hata kama uwe msafi sana na kufua nguo za ndani pia pindi utakapo kuoga unajikausha vzr na tawel (testicle fungus) na dawa nzuri hasa ni ipi??
Ndugu matatizo ya ukungu ni matizo ya pili baada ya tatizo halisi siku zote unapokua na fungus tambua huyo ni abiriatu Dereva wake yupo nakushauri nenda hospitali kamweleze doctor ninafangasi ya muda mrefu nimetumia dawa na ikiwezekana muorozeshee na dawa ambayo ushazitumia. Kwani sababu za fungus (ukungu) ziko nyingi na dawa pia za fungus ziko nyingi usipende kua Daktari wewe na mgonjwa wewe dawa za kununua bila maelekezo ya Daktari sio vyema sana wakati mwingine
 
Naomba kujua umri wako ndugu na pia nijulishe tatizo hilo limekuanza lini ili nijue pakuanzia
Miaka 29 na tatzo limenianza huu ni mwez 8 sasa nimefanya vipimo sikuonekana na tatzo lolote lkn mwili hutokezea hali hiyo nilioleza post ya mwanzo.
 
Nina ganzi Sasa ni miezi 9 na nimeonde hospital wamenimbia damu chafu ila paka Sasa siioni mabadiliko
Ganzi ni ishara kua Neva zako haziko sawa Pima Blood suger Pima Pressure Mara tatu yaani masiku tofauti tofauti Pima na VDRL kitachoonekana rudi humu Jf tutakupa ushauri
 
Kama kichwa kinavyosema hapo nakaribisha maswali yanayo husu afya
Ujauzito unatakiwa uchukue wiki ngapi max? Kuna madhara gani kuzidisha? Nini ushauri wako kwa mwabamke aliyefikisha max lakini hajajifungua.
 
Ujauzito unatakiwa uchukue wiki ngapi max? Kuna madhara gani kuzidisha? Nini ushauri wako kwa mwabamke aliyefikisha max lakini hajajifungua.

Max huwa ni kati ya 38 hadi 42 kuzidisha zaidi ya hapo kunaweza kua na madhara ama kusiwe na madhara inategemea sana mama anakua na dalili gani.

Kwa kawaida unapokua mjamzito unatakiwa uwende kwa walezi wako (Clinic) wao wamepewa dhamana ya kukuangalia wewe mwenyewe pamoja na kijusi chako hadi utapojifungua.

Kwahiyo kama watakuta vidokezo vya hatari haraka watakusogeza kwa Daktari kwa msaada zaidi kwa hiyo kama umefikisha wiki 42 na bado hupati dalili ya kujifungua na hakuna tatizo lolote wewe na MTOTO tumboni endelea kusubiri wala usitake haraka lakini pia unapofikisha wiki 34 pendelea kucheza cheza na mwanao akiwa tumboni kwa kumsikilizisha tones za watoto au vikengere vya watoto hiyo itakufanya usipitilize mawiki hayo na leba ikiingia haitokua ya muda mrefu yaani uchungu wako utakua ni wa muda mfupi.

Wa mama wote mnapokua wajawazito jisikieni mko huru kwa kuendelea kufanya shughuri ndogondogo na muhakikishe mnakula vyakula vya faida ya vitamin na madini mbalimbali kama vile madini ya folic acid ili kuimarisha ubongo wa mtoto na ili kuepuka kuzaa mtoto taahira na awe na akili nzuri hata kimasomo na madini ya casium ambayo huimarisha mifupa ya MTOTO tumboni na muepuke kujinunulia wenyewe madawa bila ushauri wa walezi wenu wa clinic wamama mnapoona dalili ambayo sio ya kawaida haraka wahi hospitali ili utoe taarifa juu ya uonavyo
 
Max huwa ni kati ya 38 hadi 42 kuzidisha zaidi ya hapo kunaweza kua na madhara ama kusiwe na madhara inategemea sana mama anakua na dalili gani. Kwa kawaida unapokua mjamzito unatakiwa uwende kwa walezi wako (Clinic) wao wamepewa dhamana ya kukuangalia wewe mwenyewe pamoja na kijusi chako hadi utapojifungua. Kwahiyo kama watakuta vidokezo vya hatari haraka watakusogeza kwa Daktari kwa msaada zaidi kwa hiyo kama umefikisha wiki 42 na bado hupati dalili ya kujifungua na hakuna tatizo lolote wewe na MTOTO tumboni endelea kusubiri wala usitake haraka lakini pia unapofikisha wiki 34 pendelea kucheza cheza na mwanao akiwa tumboni kwa kumsikilizisha tones za watoto au vikengere vya watoto hiyo itakufanya usipitilize mawiki hayo na leba ikiingia haitokua ya muda mrefu yaani uchungu wako utakua ni wa muda mfupi.wa mama wote mnapokua wajawazito jisikieni mko huru kwa kuendelea kufanya shughuri ndogondogo na muhakikishe mnakula vyakula vya faida ya vitamin na madini mbalimbali kama vile madini ya folic acid ili kuimarisha ubongo wa mtoto na ili kuepuka kuzaa mtoto taahira na awe na akili nzuri hata kimasomo na madini ya casium ambayo huimarisha mifupa ya MTOTO tumboni na muepuke kujinunulia wenyewe madawa bila ushauri wa walezi wenu wa clinic wamama mnapoona dalili ambayo sio ya kawaida haraka wahi hospitali ili utoe taarifa juu ya uonavyo
Mkuu kwa niaba ya wote Natoa shukrani za dhati,,Unajibu vizuri sana

Mimi nina matatizo mawili ambayo yananisumbua kwa muda usiopungua miez 6 ss

La 1: Nasumbuliwa sana na Wheezing,,ile hali ya koon kutoa saut pale napotoa au kuvuta hewa kwa wing mfano wkt wa kupiga mihayo na pia ni hali ambayo imenisababishia kuwa nabanja kwa sauti na kuna wkt mwngne yanatoka makohoz kdg lkn hali haiishi

Nishaenda hospital mara 3 nikapewa Amoxilin mara 2 na antibiotic nyngne ina rang ya kijani na nyeupe mara 1 lakini mara zote hzo hali hii ilikua ikiisha kwa muda wa km wk 2 kisha inarudi tena hadi nikaamua kuipotezea lkn kiukwel inanifanya nisiwe confotable kbs

Tatzo la 2: Km miez 3 iliyopita niliamka asbuh jicho 1 likaw km limevimba kwa mbaali,,hapa nlipo inaenda mwz wa 3 hii hali haijaondoka, hii sjawah ipeleka hosp
 
Max huwa ni kati ya 38 hadi 42 kuzidisha zaidi ya hapo kunaweza kua na madhara ama kusiwe na madhara inategemea sana mama anakua na dalili gani. Kwa kawaida unapokua mjamzito unatakiwa uwende kwa walezi wako (Clinic) wao wamepewa dhamana ya kukuangalia wewe mwenyewe pamoja na kijusi chako hadi utapojifungua. Kwahiyo kama watakuta vidokezo vya hatari haraka watakusogeza kwa Daktari kwa msaada zaidi kwa hiyo kama umefikisha wiki 42 na bado hupati dalili ya kujifungua na hakuna tatizo lolote wewe na MTOTO tumboni endelea kusubiri wala usitake haraka lakini pia unapofikisha wiki 34 pendelea kucheza cheza na mwanao akiwa tumboni kwa kumsikilizisha tones za watoto au vikengere vya watoto hiyo itakufanya usipitilize mawiki hayo na leba ikiingia haitokua ya muda mrefu yaani uchungu wako utakua ni wa muda mfupi.wa mama wote mnapokua wajawazito jisikieni mko huru kwa kuendelea kufanya shughuri ndogondogo na muhakikishe mnakula vyakula vya faida ya vitamin na madini mbalimbali kama vile madini ya folic acid ili kuimarisha ubongo wa mtoto na ili kuepuka kuzaa mtoto taahira na awe na akili nzuri hata kimasomo na madini ya casium ambayo huimarisha mifupa ya MTOTO tumboni na muepuke kujinunulia wenyewe madawa bila ushauri wa walezi wenu wa clinic wamama mnapoona dalili ambayo sio ya kawaida haraka wahi hospitali ili utoe taarifa juu ya uonavyo
Kweli wewe mbobezi kweli kweli.

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Nina tatizo la macho kushindwa kuona vema au kutazama kwa muda mrefu eneo lenye mwanga hasa wa jua. Na hufikia wakati mwingine naona watu viwiliwili ( kiwiliwili) badala ya sura zao kutokana na macho kuchoshwa na mwanga wa jua la mchana.

Mwanga mwingine sina tatizo nao naweza hata kuendesha chombo cha moto usiku bila tatizo.

Shida yangu ipo wapi maana nateseka sana nakunja sura kupita kiasi, kuna tiba ipi inisaidie? Umri 29
 
Back
Top Bottom