Karibu nikupe ramani moja kati ya hizi kwa bei nafuu

Karibu nikupe ramani moja kati ya hizi kwa bei nafuu

Attachments

  • 1 BEDROOM.PNG
    1 BEDROOM.PNG
    6.7 KB · Views: 13
Hoja ya msingi ni ukuta upi? Na maana ya kuutoa kinatokea nini?

Ukiachana na idea ya open kitchen ambayo si Kila mtu anaipenda.

May be kuwe hakuna privacy .ila sio lazima Kila aliyepo sebuleni ajue unanaingia chumbani au chooni ni design za kizamani .
Mfano hiyo L shaped wall ya kwenye dinning haina sababu yoyote ya kuwepo hapo siyo aesthetic wala uimara wa nyumba.
Ungeweza kuweka Upside down U shaped entrance ikaleta muonekano mzuri tu
 
Back
Top Bottom