Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #41
ghetto la ukweli 'mbinguni',, hapo bado pachafu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, :eyebrows:
mbinguni ni kitu kingine kaka
ghetto la ukweli 'mbinguni',, hapo bado pachafu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, :eyebrows:
Trilioni kadhaa tu? hivyo ni visenti tu... lolAngalia zisiwe feki kuna Mafia Italia wamekamatwa na treasury bonds feki za US za trilioni kadhaa,ndio trilioni kadhaa hahaha!
Trilioni kadhaa tu? hivyo ni visenti tu... lol
Ndio hivo!kaka jamaa hawajui kuwa kuna watu wanamiliki ....zaidi ya mtu unavyofikiria
just pm me queen
Mhh.. kwa mtindo hu utawat**ba wengi
wewe...Dah! Ingekuwa ndo ghetto lko liko hivyo ningekuwa nakuja kukuibia kila siku