Kisongo hapowadau wa Arusha mambo niaj vip nawez kupata Getto la 20k arusha.....kam lipo ni maeneo Gn... na vip kuhus swal la ulinzi
🤣Anunue kile kigodoro chembamba tu asiweke vitu ndani na aungane na kikosi kazi vibaka na asijitenge maana wakikosa cha kuiba watamuiba yeye mwenyeweKwa geto la 20k arusha unapata, kuhusu suala la ulinzi, Ujilinde mwenyewe.
Kwa ufupi, Uwe mlinzi wako.