bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 2,855
- 4,551
Habari waungwana? Heri yenu na yangu pia kwa kuuona mwaka mpya 2024,
Cha ajabu zaidi nina miezi zaidi ya 4 sijanunua vitu dukani lkn leo hii nikaona sio mbaya nitimbe mimi mwenye dukani kwa mpemba hapa jirani
Nikazama Mfukoni nikatoa 700, nasubiri nipimiwe sukari nirudi getto
Nashangaa mpemba anawauzia wateja walionikuta na mimi nimewekwa pending..!!
Baada ya dakika 10 ikabdi ni paniki
Mimi:- Oya Mpemba vp nimekupa ela kitambo nahitaji sukari robo
Mpemba: - kwanza kacheka sana alafu akaniambia robo ya sukari kwa sasa ni 900 sio 700 tena
Aiseee nilichoka sana kumbe hii bei ipo toka mwka jana
Nikarudi getto, nikawaza sana yani, nikiamza kwenda job pia next week nauli ni 700 basi nimechoka kabsaa
Leo sitaki tena chai navuta muda kidogo
Nitoe kitu cha ugali direct ili nipige 2 in 1.
Sent from Hisense Smart Tv
Cha ajabu zaidi nina miezi zaidi ya 4 sijanunua vitu dukani lkn leo hii nikaona sio mbaya nitimbe mimi mwenye dukani kwa mpemba hapa jirani
Nikazama Mfukoni nikatoa 700, nasubiri nipimiwe sukari nirudi getto
Nashangaa mpemba anawauzia wateja walionikuta na mimi nimewekwa pending..!!
Baada ya dakika 10 ikabdi ni paniki
Mimi:- Oya Mpemba vp nimekupa ela kitambo nahitaji sukari robo
Mpemba: - kwanza kacheka sana alafu akaniambia robo ya sukari kwa sasa ni 900 sio 700 tena
Aiseee nilichoka sana kumbe hii bei ipo toka mwka jana
Nikarudi getto, nikawaza sana yani, nikiamza kwenda job pia next week nauli ni 700 basi nimechoka kabsaa
Leo sitaki tena chai navuta muda kidogo
Nitoe kitu cha ugali direct ili nipige 2 in 1.
Sent from Hisense Smart Tv