Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Mbona unaweka privacy issue hadharani
Na hapa ulikuwa unafanyaje?
![]()
Unamwaga Sera Tuuuuuuu..............
Na hapa ulikuwa unafanyaje?
![]()
Unamwaga Sera Tuuuuuuu..............
Mimi Hapa
Utalala hapa oooh unadhani togwa hizo
Hahahaaa
Mambo Rich woman!
sawa nimekuelewa. Me ni muhudumu tu hapa
Uko kwa wapi?
pembeni huku
Hahahaaa eti namba za chooni lol
Au mpe zile za huduma kwa wateja kama za M-Pesa au Airtel Money
Hahahaaa Chimbuvu hapo kazi kubwa ni wanafamilia Amyner na mimi! Bishanga katoa 2% (Sawa na Bure-Aliataka walau kumaintain status yake siunajua wahaya mambo yao) Mr Rocky alinisaidia kuwapa wanangu Gunia la unga kuke Meatu si nikaona na yeye nisimsahau ila yeye ni km 0.00000003% (Samahani km nimekosea ni mambo ya kimahesabu ndio sijui) The secretary huyu ni mtoa wazo coz kwa sasa kafulia sana!Nataka kujua share ya kila mtu ili niweze kuupdate utajiri wenu
Hahahaaa dogo angalia mali za wazee watakureport polisi ooooh
Sina wivu ila moyo unauma Arabela